Mwanamke anayekata kiuno sana, kuzaa ni shida

Mwanamke anayekata kiuno sana, kuzaa ni shida

Haina uhusiano jamani,minna watoto sita mapacha na kukatika wala kukalia nani sijui hakuja nidhuru,umri unachangia sana,hormone,na hata uimara wa mlango wa uzazi,labda usemekuharibika mimba ilasio kuzaa,sijawahi sikia
Huyu mtoa mada kama si Mchagga sijui?
 
Sio kweli aisee. Hakuna uhusiano wowote ule. Unless iwe to the extent ya kuvunja pelvis (nyonga??) na sasa huko itakuwa sio kucheza au kukata kiuno bali ni vita sasa. Misitishe watu banaa...endeleeni na jadi yetu ya kukata mauno tu...hakuna namna. Ha ha ha
 
Mimi nadhani ukikata kiuno sana kuna hatihati ya kutibua mambo huko kwenye mfumo wa uzazi. si unamuona kiuno.bila.mfu.upa yuko bila bila hadi leo
Mbona lady jaydee huwa hakati viuno na mpaka leo hana mtoto hata shoo yajuzi mlimani city hakukata kiuno na huwa anasema kabisa hawezi kukata kiuno yeye kipaji chake ni kuimba tu kucheza hawezi
 
Back
Top Bottom