Recent content by mzeluu

  1. M

    DEO Kwimba sijui kafanyiwa umafia!!

    Mbona mnamshambulia,tungemsihi alete taarifa yenye kueleweka na sii mambo ya mishahara hapa..au dv 5..
  2. M

    Samaki waotesha wanaume matiti, wanawake ndevu

    Mmh kazi ipo ,tena mm ni mpenda samki wa hapa Soko LA Soweto na Kabwe acha niache kabisa kuwala nisije anza kuvaa sidilia
  3. M

    Uhamisho na ndoa za watumishi wa umma

    Mkuu nimehamishwa Niko mbeya kwa ss..but ajira yake ilitok Tabora 3years now ,ninachozungumza hapa ameomba uhamisho wanamwambia hadi atafute mtu wa kubadilishana nae..
  4. M

    Uhamisho na ndoa za watumishi wa umma

    Ni mmoja wa wahanga wa hii issue mke wangu yupo Tabora nimeomba uhamisho ahamie mbeya nambiwa atafute mtu wa kubadilishana ,asipopatikana ndio tutaendelea kuishi hivi kweli..nafikiria kufunga safari kwenda TAMISEMI kulallamika juu ya hili...maana psychologically ..naadhirika San..
  5. M

    Basi lililozama baharini Kigamboni laopolewa huku likiwa limeibiwa baadhi ya vifaa...

    TFDA wana retain_ wana scrap@ nipe ufafanuzi hapo Coxson TFDA wanahusika vip hapo..Ku retain gari..
  6. M

    Ushauri wa gari TOYOTA RAV4

    Zinapatikn kwa sh ngapi used nampango wa kununua
  7. M

    Yawakutayo waganga wa kienyeji

    Haya mambo mwanzo kuzungumza ilikuwa ni siri kubwa sana,hongera Mshana kwa kutufunilia hay..
  8. M

    Kijiji hatari cha Wachawi Tanzania

    Hicho kijiji ni zaidi ya Kile cha kwa cheng ...
  9. M

    Tulivyokuwa tukiiba almasi mgodi wa Mwadui na wenzetu kuuawa

    Ngaliba haswaaa...tunasubiri habri ya lebanoni ,cha msingi zingatia SHERIA ya kazi yako
  10. M

    Inauzwa Cresta gx100 3.5 milion

    Pich tafafhari
  11. M

    SUMATRA na ratiba mpya ya mabasi

    Ratiba haionekani mleta mada tuletee tena,ila mm ni mmoja ambaye safari za usiku nazipenda sana,S's sijui tumefuka mwisho wa kufikiri au nn uvivu wa kutafuta maoni ya wadau wa usafirishaji...
  12. M

    Binti Ajinyonga, aacha majina ya watu anaowadai wamlipe

    Tujifunze kutatua matatizo yetu kwa kuzungumza si kuchukua maamuzi...R.I.P Dada wew
  13. M

    Jionee ukaguzi wa Polisi wa Uganda kwa Wanawake

    Wanakagua kama wamevaa nepi si unajua joto LA Uganda kama bongo tu..ukaguzi huu ukija bongo itakuwa Nouma sana...
Back
Top Bottom