Mkuu nimehamishwa Niko mbeya kwa ss..but ajira yake ilitok Tabora 3years now ,ninachozungumza hapa ameomba uhamisho wanamwambia hadi atafute mtu wa kubadilishana nae..
Ni mmoja wa wahanga wa hii issue mke wangu yupo Tabora nimeomba uhamisho ahamie mbeya nambiwa atafute mtu wa kubadilishana ,asipopatikana ndio tutaendelea kuishi hivi kweli..nafikiria kufunga safari kwenda TAMISEMI kulallamika juu ya hili...maana psychologically ..naadhirika San..
Ratiba haionekani mleta mada tuletee tena,ila mm ni mmoja ambaye safari za usiku nazipenda sana,S's sijui tumefuka mwisho wa kufikiri au nn uvivu wa kutafuta maoni ya wadau wa usafirishaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.