inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,740
- 22,490
mkuu sioni kitufe cha like,chukua dole la kati mkuu kwa comment yako hiiNi ufinyu wa mawazo,
wanaotoa hizo ratiba wanasafiri na kilimo kwanza 7 hours yuko mbeya. kwanza mie naona hata sheria za kutosafiri ucku ni upuuzi kabisa.
1. ni kwa nini mpaka leo hakuna dalili za kujenga highway
2. zamani arusha ilikuwa nenda rudi na magari ya zamani barabara za vumbi leo lami ZONGTONG na YUTONG BADO WALAZIMISHWA KWENDA MASAA 12 Upuuzi ni majipu hayo!!
Mie naona watu wachagye kama wataka la kulala njiani sawa kama wataka la one day trip sawa.
I.E Kulikuwa na bus la ALyys dar mwanza lilikua linaingia mwanza saa 12 na nusu
Musoma express linaingia musoma saa nne au tano!!
mbona bado ajali zatotokea?
gari ndogo je?