Habari za leo wanamichezo wenzangu...
Leo naomba nije na kisa hiki cha kusikitisha kuhusu mchezo niupendao sana, mpira wa kikapu..
...kuna kocha mmarekani alijitolea kuja Tanzania kwa ajili ya kuinua mchezo huu. Program hii ilikua na lengo la kuchagua vijana wadogo wenye age around 18 hiv ambao...
....mleta mada hana logic, hivi Sugu aliingia bungeni akiwa hana mishe zake za kumuingizia mkwanja?....wote tunamfahamu sugu kwa upiganaji wa kutafuta life..naamini aliingia bungeni akiwa na mafanikio tayari. huu ndio uchochezi, unafiki na uzandiki. na wivu kijinga-jinga.
Mnakumbuka 2006?...ni mwaka ambao watoto wengi wa wakulima walidrop vyuo kwa sababu division two kwa wanaume ilikua just like nothing...sasa wamekuja na hili, inaumiza, inatesa...
:mad::mad:
...there are things, about men, u will never understand unless u were a man.
niliwahi kupenda sana somewhere, relationship haiku-workout and I turned to be a player, but always nikawa natamani nipate mtu ambae atanifanya niache hayo mambo, nikampata na nikaacha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.