- Thread starter
- #61
Hapana huyo hana bahati huyo
kumbe kutongozwa ni bahati?
Hapana huyo hana bahati huyo
Anaweza akawa smart kwa nje lakin si rohon. Mwambie ajifunze jinsi ya kukaa na kuongea na watu
Sent from my BlackBerry - jamiiforums
habari za leo wanajamvi,hivi binti ukiwa smart kimavazi,namaanisha kimuonekano inaweza kusababisha wanaume wakaogopa kukuaproach? ninarafiki yangu ninafanyanae kazi, mdada ni mzuri,anajipenda yan ukimuangalia unaweza sema mdada ana msururu wa wanaume, chakushangaza katika stori amenishangaza aliponambia, hapo alipo hana boyfrend,anahisi wanaume wanamuogopa the way alivyo,yani wanaogopa kumuaproach. hali hiyo inamkosesha raha.but the gal mkimuona ni very smart,anapendeza,hakuna nguo alovaa acpendeze.
Kwani usianze wewe kumtongoza!!!!!!!!au na wewe pia unamwogopa!!!!!!!
usafi rohoni unamaanisha nini?chuki?huyu dada simtetei anaongea nakila mtu kazini,namaanisha anasocialize na watu ni mcheshi,labda niungane na huyo mdau alosema hana bahati.
Vipi kama mleta uzi ni KE? Still utaendelea simamia ushauri wko?
ni me.......usiniulize nimejuaje........
yuko wapi rafiki, hana kabisa
unaweza kuwa unaongea na watu hata kucheka nao na kutaniana lkn kimtazamo bado waweza kuonekana au kuwa katika muonekano ambayo sio wa uhalisia
Keşi yetu nakushauri uweke wakili.
Mapi nna uhakika.......sa naona unataka kufukunyua zaid kuwa nimejuaje.......mi nauliza Heaven on earth sikubali. Unauhakika ni ME???
Mkuu weka picha
habari za leo wanajamvi,hivi binti ukiwa smart kimavazi,namaanisha kimuonekano inaweza kusababisha wanaume wakaogopa kukuaproach? ninarafiki yangu ninafanyanae kazi, mdada ni mzuri,anajipenda yan ukimuangalia unaweza sema mdada ana msururu wa wanaume, chakushangaza katika stori amenishangaza aliponambia, hapo alipo hana boyfrend,anahisi wanaume wanamuogopa the way alivyo,yani wanaogopa kumuaproach. hali hiyo inamkosesha raha.but the gal mkimuona ni very smart,anapendeza,hakuna nguo alovaa acpendeze.
kumbe kutongozwa ni bahati?