Recent content by Mzee wa hekima

  1. M

    Video shooting and editing

    Hollyreath nadhani umeanzisha uzi 4 fun. nimeku pm unitafute upo kimya. Ulitakaje hasa?
  2. M

    Hivi jamani siku ya kwanza ya wiki ni ipi haswa?

    Juma mosi - (mosi = 1) Juma pili - 2 Juma tatu - 3 Juma nne - 4 Juma tano - 5 Alhamis - sina hakika Ijumaa - sina hakika
  3. M

    Baadhi ya wanawake hula kondo mara baada ya kujifungua

    Mkiambiwa ni dawa ya Dengue mtakataa kula au kunywa? ni swali tu
  4. M

    Je, wajua kiatu chako chaweza kukuambia umri wako?

    Sasa hiyo namba 6 inaondoa uhalali wa hesabu yako kwani nishajua mwaka wangu wa kuzaliwa mzunguko wote huo wa nini?
  5. M

    Mzee Jaji Warioba ndani ya Dk 45 ITV

    nipeni link ya kipindi chake
  6. M

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    Kuna mengi yaliyotarajiwa yameanza kutimia.. 1. Serikali mbili ndiyo mpango - ina nafasi zaidi ya kutekeleza matakwa yake zaidi serikali 3 2. Ukomo wa uongozi bungeni still loading..
  7. M

    Yaliyojiri Bungeni Dodoma: Ijumaa Tarehe 21 Machi 2014 - Hotuba ya Rais, Uzinduzi wa Bunge Maalum

    Kuna mengi yaliyotarajiwa yameanza kutimia.. 1. Serikali mbili ndiyo mpango - ina nafasi zaidi ya kutekeleza matakwa yake zaidi serikali 3 2. Ukomo wa uongozi bungeni
  8. M

    Sentensi moja ya Warioba ambayo CCM hawawezi kuitolea majibu kabisa!

    Hapa tatizo hakuna anaetaka jina la nchi yake kufa. Muungano wa nchi moja, jina zanzibar lazima life, kinyume chake jina tanzania life. suruhisho ni serikali 3. twende sawa kila mtu atatumia chake kwa uhuru bila kubughudhi muungano
  9. M

    Jengo gani ni refu kuliko yote Jijini Dar es Salaam?

    Wachawi watakuwa wanajua jengo refu wanapokuwa angani
  10. M

    Nahitaji mpenzi wa kiume

    Sasa AmKATRINA mama watoto mke wangu sweety, kwa hatua uliyofikia naomba tu unisamehe nimekoma sikuachi tena
  11. M

    Ndege Iliyopotea ndio hii?

    Huu tunauita nini vile?
  12. M

    Anguko la CHADEMA, ni mtego kwa CCM

    Amini usiamini, nawapongeza wakazi wa Igunga kwa kuwapa nafasi ya mwisho CCM ili walipe madeni ya ahadi zao mpaka hiyo 2015. Hii itawafanya wawe wenye amani mioyoni mwao kwa kufanya maamuzi ya mabadiliko kwani watakuwa wamehukumu kwa haki ktk uchaguzi mkuu. Ndiyo maana nasema ni mtego kwa CCM
  13. M

    Wanataka kuachana kisa jina

    Ni vyema akanyamaza, aoe baadae abadilishe jina mtoto. Hiyo ndiyo hekima yake ya mwisho.
  14. M

    Leo Asubuhi Nikiwa Ubungo bus terminal....

    Kijana, kwanza hongera sana kwa hekma uliyoonyesha. sasa wewe iwashe akikupigia mwambie ulipo umpe ila kabla hujampatia mwashe kibao kitakatifu kisha msonye. Nadhani utakuwa umetimiza wajibu kijana
Back
Top Bottom