jpili mkuu...Jumapili
Niko njia panda
Jumapili ndiyo siku ya kwanza ya juma hilo liko wazi
Ni siku ambayo Yesu alifufuka, maana tunaambiwa hivi katika Mathayo 28:1 Hata sabato ilipokwisha, ikapambazuka siku ya kwanza ya juma​, Mariamu Magdalene, na Mariamu yule wa pili, walikwenda kulitazama kaburi.
Kulingana na maelezo yako, bila shaka wewe ndiye hasa Illuminat, ni ukweli usiopingika kuwa wayahudi wana dini yao iitwayo Judaism ambayo wanaabudu siku ya jumamosi na wamekuwa wakifanya hivyo tokea zamani, je nao walipotoshwa huku wakiendelea kushika sabato?Siku ya Sabato ni Jumanne kwa mujibu wa maandiko(Nitakuja kufafanua)Kumbuka majira na nyakati vilibadilishwa.Na matumizi ya kalenda ya sasa ya Gregory ndio ushahidi.Kwa Mungu mwezi una siku 30 tu na masaa yake huhesabika tofauti na jinsi ilivyo sasa ambapo siku huanza kuhesabika saa 7 usiku!Illuminat walifanikiwa kuufanya mwaka uwe na miezi 13 iliyojificha katika miezi 12 ya sasa!Kumbuka kuwa namba 13 ni masonic number.Baadhi ya madhehebu wanaipa heshima mf sabato ya 13,division 13,ahadi 13 za ubatizo nk.Kuna watu wanaamini siku ya saba ni jumamoasi ila wanaweza kushangaa wakijua si jumamosi bali ni jumanne!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums