Mzee Jaji Warioba ndani ya Dk 45 ITV

Mzee Jaji Warioba ndani ya Dk 45 ITV

subirini kisu cha maadili hilo la serikali 3 limewatoa jasho hilo la maadili litawatoa kamasi.

leo nimekaa natafakari juu ya huyu mzee warioba nahisi kama amepewa mafunuo ili kuwapigania wanyonge wa taifa hili linalo hujumiwa na wanyang'anyi.
C.c mwanadiwani,ritz,ajuza wa kikwajuni ff.
 
leo nimekaa natafakari juu ya huyu mzee warioba nahisi kama amepewa mafunuo ili kuwapigania wanyonge wa taifa hili linalo hujumiwa na wanyang'anyi.
C.c mwanadiwani,ritz,ajuza wa kikwajuni ff.

Mkuu, mliobahatika kukitazama kipindi hicho tuwekeeni mtiririko mzima wa data alizomwaga mwanzoni mwa thread.
 
Wekeni anayosema kwa ufupi humu jf huku tulipo umeme hakuna hata radio hazipatikani
 
We need more people like this Jaji we will move away from here we are! Thanx jaji!
 
Jk ndo sliharibu mjadala wote, Warioba lazima amtaje na mkuu nchi ndo chanzo , ni shida sana kuongoza nchi kwa kutokijiamini na vile vile kuogopa watu wasiotakia mema nchi, sasa ni mkorogano jk kachemka sn, he is useless atakuwa kiongoz mwenye historia mbaya sn tz
 
du nilizani una uwezo wa kufikiri. Ccm inawamliza uwezo wa kufikiri. Chadema wametoka wapi hapo?

huyo kijana lukyosi hana jipya kitabia maana toka atafune rambirambi za mwangosi ni kama ana kalaana kazito kweli!
 
Pongezi za dhati ziende kwa mwendesha kipindi EMMANUEL BUHOHELA kwakweli amejitahidi sana kumuuliza maswali yenye tija kwa taifa na WARIOBA kayajibu kwa ufasaha mkubwa,Namuomba mwendesha kipindi aendelee kuwauliza maswali mazito hata anapokuwa na wakina WASIRA n.k natumaini hadi watakuwa wanakikacha hicho kipindi cha dakika 45 kama NAPE alivyokacha mdahalo jana jpili pale Serena Hotel.
 
Mkuu uliyetuwekea audio last time, tunaomba na hapa tena. Wengine tupo night shift hakuna tv mkuu. Nashukuru
 
huyo kijana lukyosi hana jipya kitabia maana toka atafune rambirambi za mwangosi ni kama ana kalaana kazito kweli!
Aje hapa aeleze kazi ya upolisi iliishaje na zile fwezzzzzzzzza a.k.a chambichambi
 
Mkuu uliyetuwekea audio last time, tunaomba na hapa tena. Wengine tupo night shift hakuna tv mkuu. Nashukuru

yees audio pliiiiz.....wengine tulikuwa mbali na tv/redio.. thanx in advance
 
Warioba amewalipua ccm ktk kipindi cha dk 45 itv.mbona wabunge wa ccm walobaki bunge la katiba wanawatukana ukawa eti watavunja muungano bila kutaja sababu zipi selikari tatu zitakavyovunja muungano.
 
Back
Top Bottom