mwallu
JF-Expert Member
- Sep 5, 2013
- 6,787
- 4,215
unayosema ni kweli
but,hiyo sababu inatosha kumuacha mzazi mwenzie? labda kama kuna mengine
but,hiyo sababu inatosha kumuacha mzazi mwenzie? labda kama kuna mengine
Anajuaje kama baba wa ukweli wa mtoto ndo katoa jina hilo kisha anadanganywa ukweli ndo wamempa?
Ni wazazi gani, binti yao anapewa tu mimba from no where- aliyempa humjui kisha unakurupuka kwenda kutoa jina kwa mtoto? Its a shame kwa utaratibu wa kiafrika hadi sasa.
Na mwanaume ambaye mtoto wake kachaguliwa jina kwengine ana haki ya kumkataa!
A name carries with it a lineage (urithi wa kinasaba) heritage, customs and pride. Na kiafrika ni from a fathers lineage.
Kama baba hakuchagua jina la mtoto basi hawezi kuitwa ni wa ubini wake. Na kwa sababu jamaa hajatoa mahari upande wa binti una haki ya kumchukua huyo mtoto kabisa kama wao so jamaa anaweza kusepa zake!