Ndege Iliyopotea ndio hii?

Ndege Iliyopotea ndio hii?

Mkuu nimetumia uandishi unaohitaji fikra ya kina...ndio maana sijataja jina la shirika la ndege hivyo bado sio uzushi

Mkuu na umekuwa na akili zaidi umesha edit tittle!!! Ha ha ha!!! Thread is here to stand!!! Hapo picha ya ndege hakika jina limechukua nafasi sana miaka mingi mno. Huwa najiuliza ilianza vipi, ila nakumbuka ndege ya pale miaka kama 30 iliyopita niliona kama ilikuwa ya mbao. Sasa naona kuna maboresho, ya bati!!! watanzania teknolojia ipo ila haina mwendelezo. Hivi yule kijana alijenga ndege yake na ikaruka na yule wa gari la mbao hivi serikali iliwapeleka wapi? Hao ukiwapeleka uchinani watapata ajira.
 
Huu tunauita nini vile?

Ujasiri, amejitetea kuwa hakutaja shirika la ndege, hivyo basi waite ni jokes!!! Ila jokes nyingine bana!! He is smart!!! Soma tittle kwa sasa uone kama ina tatizo tena, wala mods hawataiondoa.
 
j2.jpg

Ndo yenyewe aisee..
 
Watu wana utani sana ungekuwa karibu na mimi ningekuzabua kibaha
 
Aisee ona sasa umeturudisha nchi kavu kutoka baharini kwenye search tukifikiri ni kweli. Kwenye mambo serious acha mizaha bana wewe kuna ndugu wanasubiri ripoti za ndugu zao haswa hawa Wachina ni very bitter we fanya Mzaha wakusikie.
 
mkuu ndio hii ndo ndege iliyopotea, mara ya mwisho ilikuwa inachezewa milembe dodoma ila kuna kichaa mstaafu aliondoka nayo...ukiishusha uipeleke kule milembe dodoma maana inatafutwa!
 
Kwa sababu heading ya mwanza kama breaking news ilisema ndege imepatikana!!! Heading unayoiona kwa sasa ni edited!!!

yes kuishi mjini akili!

we unadhani watu8 anapenda kifungo cha miezi mi3 ndani? lols!!
 
Last edited by a moderator:
Naona chini ya ndege yako kuna bar, utakuwa ushakamata viroba kadhaa!
 
Back
Top Bottom