Recent content by Mzee wa fitna

  1. Mzee wa fitna

    Kuna haja ya kuangalia mavazi ya mtu kwenye usaili wa kazi?

    Hata muuza vyombo akiamka asubuhi lazima afute vyombo vumbi kuviweka smart! Mbona mkitongoza first date mnakuwa smart. Vijana vaeni smart kwenye interview acheni usasa utawaponza .
  2. Mzee wa fitna

    Viazi vitamu vyadaiwa kuzalisha mapacha

    Research ngoja nikaifanyie Gairo kuprove hili swala
  3. Mzee wa fitna

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo Kasulu Kigoma nije Dodoma, Morogoro, Pwani wilaya yoyote. Idara ya Sekondari
  4. Mzee wa fitna

    Kwanini Mabasi makubwa huwekwa silencer kwa muda mrefu sana?

    ABC mshakula promo kweupeee Sent using Jamii Forums mobile app
  5. Mzee wa fitna

    Huwa unafanyaje kurudisha uhusiano mzuri na baba yako, kipindi nguvu ya chuki inapokuwa kubwa zaidi?

    Nimesoma yote na nimesikitishwa lakini pia nakupa pongezi kwa kupambana. Ushauri kama ambavyo ulitatua tatizo la mama TANGA nashauri urudi tena Tanga kwa tatizo la Mzee. Asante
  6. Mzee wa fitna

    Mbona watu wengi wanapenda kuhama usiku tu?

    Sababu ni mbili! Moja, Ni kujisitiri watu kujua maisha yako hasa vyombo unavyomiliki hasa kama vina uchakavu! Mbili ni Kuzuia wezi wanaotamani Mali za watu kujua unamiliki nini hata wakivamia kwako wanajua kabisa wanachokipata
  7. Mzee wa fitna

    Athari za kubeti

    VIP wadau wa Bonanza linatema hela huko kwenu?
  8. Mzee wa fitna

    Kumbe kulala kitanda kimoja na mke/mume yaweza kua karaha!

    Kulala na mwenza wako raha sana, ukikosa usingizi una cha kukukeep bize. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Mzee wa fitna

    Taja beats za nyimbo kali zaidi kuwahi kutengenezwa Tanzania

    Kisimu changu _ mzee wa bwax Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Mzee wa fitna

    Mbaroni kwa matumizi ya Lugha ya Matusi dhidi ya Mkuu wa Wilaya

    Hiyo baa itafungwa soon Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Mzee wa fitna

    Mbaroni kwa matumizi ya Lugha ya Matusi dhidi ya Mkuu wa Wilaya

    Sio msufini ya Afande Sele ni ya Gairo hiyo na mshitakiwa mmoja wapo hapo ndo mmiliki wa hiyo baa Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Mzee wa fitna

    Girlfriend wangu kanitongozea rafiki yake.

    Hilo ni Bomu kimbia Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Mzee wa fitna

    Atayaweza majukumu huyu kweli?

    We unamchunguza na yeye yuko field pia anakuchunguza unauvumilivu? Hahah
Back
Top Bottom