Boran Jakutay
Senior Member
- Apr 8, 2023
- 110
- 255
Umeshawahi kutamani kupata watoto mapacha?. Basi taarifa hii inaweza ikawa njema kwako.
Ulaji wa viazi vitamu kwa kipindi kirefu unadaiwa kusaidia uzalishwaji wa mayai mengi kwa Mwanamke na hivyo kupelekea kupata watoto mapacha.
Jiji la Igbo-Ora lililopo nchini Nigeria ni jiji lenye mapacha wengi na Nigeria imepewa jina la mji mkuu wa Mapacha Duniani kwa kuwa na watoto mapacha wengi zaidi kuliko eneo lolote duniani huku viazi vitamu vikiliwa zaidi nchini humo.
Viazi vitamu vinatajwa kuongeza homoni aina ya โphytoestrogenโ ambayo huchangia kwenye kupevusha yai zaidi ya moja kwa wakati mmoja.
Utafiti wa kisayansi bado unafanywa ili kubaini ukweli wa jambo hilo.
Chanzo: TBC Online
Ulaji wa viazi vitamu kwa kipindi kirefu unadaiwa kusaidia uzalishwaji wa mayai mengi kwa Mwanamke na hivyo kupelekea kupata watoto mapacha.
Jiji la Igbo-Ora lililopo nchini Nigeria ni jiji lenye mapacha wengi na Nigeria imepewa jina la mji mkuu wa Mapacha Duniani kwa kuwa na watoto mapacha wengi zaidi kuliko eneo lolote duniani huku viazi vitamu vikiliwa zaidi nchini humo.
Viazi vitamu vinatajwa kuongeza homoni aina ya โphytoestrogenโ ambayo huchangia kwenye kupevusha yai zaidi ya moja kwa wakati mmoja.
Utafiti wa kisayansi bado unafanywa ili kubaini ukweli wa jambo hilo.
Chanzo: TBC Online