majoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,355
- 4,052
Vijana!
Interview ni mambo mengi sana yanaangaliwa. Kumbuka watu 1000 mnapambania nafasi 10. what do you expect? Kama ni vyeti wote 1000 wanavyo. kama ni maswali wote wamejibu vizuri kabisa. kwa ufupi wote wanalingana katika kila nyanja.
hapo tutaanza kuangalia nani ana cha zaidi. Kwenye mavazi hatuangalii ya utajiri na umaskini. Tunaangalia unavaaje na unaonekanaje. Hata kama shati lako la kitenge limepauka lakini liko smart, na umelivaa vizuri utaweza kuwazidi waliovaa za mlimani city zenye vilaka. Umenyoaje? Unaongeaje? Makucha yako?.. na mengine mengi. So be prepared kwa kila kitu. Hata mpangilio tu wa Document zako unaweza kuonyesha uko smart kiasi gani.
Interview ni mambo mengi sana yanaangaliwa. Kumbuka watu 1000 mnapambania nafasi 10. what do you expect? Kama ni vyeti wote 1000 wanavyo. kama ni maswali wote wamejibu vizuri kabisa. kwa ufupi wote wanalingana katika kila nyanja.
hapo tutaanza kuangalia nani ana cha zaidi. Kwenye mavazi hatuangalii ya utajiri na umaskini. Tunaangalia unavaaje na unaonekanaje. Hata kama shati lako la kitenge limepauka lakini liko smart, na umelivaa vizuri utaweza kuwazidi waliovaa za mlimani city zenye vilaka. Umenyoaje? Unaongeaje? Makucha yako?.. na mengine mengi. So be prepared kwa kila kitu. Hata mpangilio tu wa Document zako unaweza kuonyesha uko smart kiasi gani.