Recent content by MZEE d

  1. M

    JamiiForums Tanzania Waandishi wa Bibilia wameficha sehemu Yesu alitamka Allah kama ndio Mungu wake

    Kiarabi, na kie brania Mungu kwa lugha yao wanaita Allah haimaanishi kitu kigeni ni kama sisi east africa kutumia neno shilingi kwenye currency zetu ni muingiliano wa lugha tu
  2. M

    JamiiForums Tanzania MV TANGA yakarabatiwa kwa TZS1.118 Bilioni

    Mwandishi wa post hauko vizuri heading 118bn wakati ndani umesema bilioni moja na millioni Mia moja kumi na nane ? Mbona wewe
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu ananipa laki 5 kila mwezi mama anadai hazitoshi nirudiane na x wangu

    Mwambie baba yako juu ya tabia za mama yako
  4. M

    JamiiForums Tanzania Uzao wa Nephillim na utawala wa Illuminati

    Uzuri ukija na uongo watu wana kufumbua
  5. M

    JamiiForums Tanzania I need a friend to text me love me and share good things

    I'm here
  6. M

    JamiiForums Tanzania Kataa kabisa urafiki au mahusiano ya kawaida na Askari Polisi

    Ila sisi tukikabwa tunawakimbilia polisi wakati mwingine ukimpigia tu mkuu wa kituo simu kua nasikia huku kwangu siyo SHWARI defender hii napo nisiwe nao karibu bado sijashawishika mtaani kwetu bila polisi hatulali
  7. M

    JamiiForums Tanzania Nimeamua Kulima kwa mara ya Pili kilimo cha mahindi

    Huwezi kulima kwa 5m uvunje 90m upate faida 85 m huo ni uongo ka unataka kufanikiwa kwa hesabu hizo at least running cost utumie 40m ndo faida upate hiyo
  8. M

    JamiiForums Tanzania Nimeshindwa kuamini gharama za Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete

    Gharama za matibabu ka hayo ya moyo ziko juu sana niliwahi kumsikiliza peof janabi ndugu yangu usiombe kuisikia hata kwa jirani
  9. M

    JamiiForums Tanzania Ninunue kiwanja sehemu gani ndani ya Dar?

    Njoo nikuuzie kiwanja kigamboni pembeni ya majengo ya uturuki
  10. M

    JamiiForums Tanzania Sababu hasa zinazofanya wanajeshi wawapindue watawala

    Upo sawa kabisa
  11. M

    JamiiForums Tanzania Sababu hasa zinazofanya wanajeshi wawapindue watawala

    Watu wanafikiri ottoman ni tamthilia tu someni ottoman empire na akina oghuz Khan
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimepewa habari kuwa mume wangu ananisaliti, naomba ushauri jinsi ya kusahau jambo hili

    Ukimuacha Munro wote mtakuwa mmempa uhuru wifi yenu ku enjoy na mumeo mkomoe wifi ako na wewe mzalie mumeo watoto wengine kisha mfanye sherehe ya kutimiza miaka kadhaa ya ndoa afu wifi yenu ashuhudie ila mfanye ajue kuwa unajua anachokifanya
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Simba SC haifiki Robo Fainali na leo inafungwa goli 2

    ngapi huko mwandishi?????
  14. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kanizawadia nusu lita ya asali na elfu 50 siku ya birthday yangu. Nimempiga chini kwa kasi ya 5G

    walaumu wazazi wako kwanini hawakukununulia gari hadi ulitake kutoka kwa jamaa wa ukubwani
Back
Top Bottom