Buntungwa
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 549
- 304
Wana JF habari za mchana,
Naimani mko poa na mnaendelea na harakati za kutafuta pesa.
Iko hivi, Jumatano saa 10 jioni nikiwa office kwangu simu yangu ya mkononi inaita, kuangalia kaka, ana mke na watoto 2 anaishi maeneo fulani hapo Dar, nikapokea tukasalimiana kwani in muda mrefu hatujawasiliana.
Baada ya salamu kaka akaniambia Sister kuna jambo nataka nikwambie. Leo nimekaa nalo muda mrefu sana bora nikueleze tu nikamjibu niambie tu usijali, my kaka akaniambia nmekorofishana na mke wangu, kanipeleka polisi, nimetolewa na rafiki zangu tumekorofishana sana mke wangu ameondoka ameenda kuishi kwa Dada yake simtaki tena yule mwanamke ni hatari sana simtaki yani simtaki kabisa, nikamuuliza kimetokea nini mpaka aondoke my kaka akanijibu nimegundua mke wangu anatembea na mume wako muda mrefu tu ila nilikuwa naogopa kukwambia kwa ajili ya ndoa yenu ila nimeona anazidi nimeamua nikueleze ili uamue cha kufanya.
My kaka anaendelea yaani huyu mwanamke ni shetani kabisa sister mfate mfate mkamkomeshe. Mmmh, nikashtuka kidogo, nikatafakari huku nimeshtuka ni jambo jipya na geni kwangu.
Mmh nikashtuka tena nikamuuliza my kaka umejuaje hilo akaniambia nimekuta picha WhatApp na chat zao wanawasiliana na pia mama mkwe wako anamjua na wifi zako wanawasiliana sana na mke wangu hata shemeji yako anamjua vizuri mke wangu.
Akaendelea kaka kuniambia mume wako akiwa anaenda Tanga kikazi huwa anaenda na mke wangu na wameenda huko Mara nyingi tu, kweli mwili uliniisha nguvu nikawa natetemeka heeee ni ndoto au naelenzwa live? najiuliza.
Kaka anaendelea nilimpigia simu mume wako nikamwambia mbona unachit na make wangu mume akajibu nitakutafuta niko bize sana muda huu (mpaka nakupigia simu hii hajawahi kunitafuta ila huo ndio ukweli sister, my kaka anaendelea hata huyo mtoto wa pili aliozaa mke wangu nahisi sio mtoto wangu amezaa na mumeo, jamaniiii acheni tu.
Nikarudi home nikamuelezea mume wangu akakataa. Amenieleza mengi mengi ila kwangu halifutiki naomba mnisaidie nifanyeje?
Linapita kichwani muda wote.
Naimani mko poa na mnaendelea na harakati za kutafuta pesa.
Iko hivi, Jumatano saa 10 jioni nikiwa office kwangu simu yangu ya mkononi inaita, kuangalia kaka, ana mke na watoto 2 anaishi maeneo fulani hapo Dar, nikapokea tukasalimiana kwani in muda mrefu hatujawasiliana.
Baada ya salamu kaka akaniambia Sister kuna jambo nataka nikwambie. Leo nimekaa nalo muda mrefu sana bora nikueleze tu nikamjibu niambie tu usijali, my kaka akaniambia nmekorofishana na mke wangu, kanipeleka polisi, nimetolewa na rafiki zangu tumekorofishana sana mke wangu ameondoka ameenda kuishi kwa Dada yake simtaki tena yule mwanamke ni hatari sana simtaki yani simtaki kabisa, nikamuuliza kimetokea nini mpaka aondoke my kaka akanijibu nimegundua mke wangu anatembea na mume wako muda mrefu tu ila nilikuwa naogopa kukwambia kwa ajili ya ndoa yenu ila nimeona anazidi nimeamua nikueleze ili uamue cha kufanya.
My kaka anaendelea yaani huyu mwanamke ni shetani kabisa sister mfate mfate mkamkomeshe. Mmmh, nikashtuka kidogo, nikatafakari huku nimeshtuka ni jambo jipya na geni kwangu.
Mmh nikashtuka tena nikamuuliza my kaka umejuaje hilo akaniambia nimekuta picha WhatApp na chat zao wanawasiliana na pia mama mkwe wako anamjua na wifi zako wanawasiliana sana na mke wangu hata shemeji yako anamjua vizuri mke wangu.
Akaendelea kaka kuniambia mume wako akiwa anaenda Tanga kikazi huwa anaenda na mke wangu na wameenda huko Mara nyingi tu, kweli mwili uliniisha nguvu nikawa natetemeka heeee ni ndoto au naelenzwa live? najiuliza.
Kaka anaendelea nilimpigia simu mume wako nikamwambia mbona unachit na make wangu mume akajibu nitakutafuta niko bize sana muda huu (mpaka nakupigia simu hii hajawahi kunitafuta ila huo ndio ukweli sister, my kaka anaendelea hata huyo mtoto wa pili aliozaa mke wangu nahisi sio mtoto wangu amezaa na mumeo, jamaniiii acheni tu.
Nikarudi home nikamuelezea mume wangu akakataa. Amenieleza mengi mengi ila kwangu halifutiki naomba mnisaidie nifanyeje?
Linapita kichwani muda wote.