Nilienda kuuza hisa zangu za tbl nikaambiwa hazinunuliwi tangu mwaka 2019 mpka mwaka huu wanadai eti Bei za kuuza zipo naweza kupata mtu wa kumuuzia hapa
Dah is so sad kiukweli hapa kuna uhuni wa NATO , na Putin anajichukulia nchi kiurani ni Kama kamanda alichack alivyofanya kwa wakai na kuweka bendera zake kwenye kambi ya wakai ,lakn etugtru alivyo mjanja akaja kumteka kiulaini na kunyanganya kila kitu so hii ndio move navyoiona tuwape mda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.