Recent content by mzawa _original

  1. M

    Kwa maswali haya sensa imefeli kabla haijafanyika!

    Kabisa alafu maswali ni mengi mno mm nimekaa mpka saa7 cjaiona mtu nimeenga kumwagilia moyo
  2. M

    Je, Marekani huwa wanafanya zoezi la sensa?

    Mimi mpka saa tisa hii bado sijahesabiwa
  3. M

    Tahadhari kwa wazazi wa watoto wa Panya Road, nina bastola

    Sema Hawa mapanya sijui wanajiamini nn aisee
  4. M

    Nipo Dar, nahitaji mkopo wa riba, na hata dhamana.

    Yan bongo bana kusaidiwa ni shida Shana mtu anashida Ila watu wanaleta mzaa,
  5. M

    Mijadala ya Mawazo na Michanganuo mbalimbali ya Biashara na Uchumi kwa Ujumla

    Naweza kupata mtu wa kuweza kununua company ya catering services na asset zake zote
  6. M

    Soko la Hisa la Dar es Salaam na orodha ya makampuni yaliyosajiliwa

    Nilienda kuuza hisa zangu za tbl nikaambiwa hazinunuliwi tangu mwaka 2019 mpka mwaka huu wanadai eti Bei za kuuza zipo naweza kupata mtu wa kumuuzia hapa
  7. M

    Mwanaume kimbia

    Kiukweli hapa kuna shina Sana tunachotakiwa kuomba ni huruma ya Mungu
  8. M

    Rais wa Ukraine: Viongozi 27 wa Ulaya hawapokei simu zangu

    Dah is so sad kiukweli hapa kuna uhuni wa NATO , na Putin anajichukulia nchi kiurani ni Kama kamanda alichack alivyofanya kwa wakai na kuweka bendera zake kwenye kambi ya wakai ,lakn etugtru alivyo mjanja akaja kumteka kiulaini na kunyanganya kila kitu so hii ndio move navyoiona tuwape mda
Back
Top Bottom