mzawa _original
Member
- Feb 7, 2022
- 23
- 27
Kiukweli hapa kuna shina Sana tunachotakiwa kuomba ni huruma ya Mungu
Naungana na wewe mkuu,yameshanikuta sitaki hata kukumbuka
Huwa zinaisha, maisha ni kupanda na kushuka. Kuna watu walikuwa na mipesa kibao sasa hivi wapowapo tu sio kwamba walikuwa wazembe...ni maisha tu yamewachezea mchezo mbaya
una msema ricky rickKukimbia pia ni moja kati ya mbinu za kivita pindi unapoona umezidiwa,unaweza ukajiona jasiri usikimbie ukabaki ukauwawa!
Nasema hivi mwanaume pindi unapoona uchumi wako umeyumba na ikifika kipindi huwezi tena kuendesha familia yaani inafika kipindi yaani huna mishe kabisa hadi unaamua kushinda nyumbani,maana hata ukitoka ni hola utaanza kuulizwa mbona umerudi mikono mitupu!
Ikifika hatua hii ni bora kukimbia na kwenda kusikojulikana kwa usalama wa afya yako maana sonona utayoipata kwa mkeo sio poa maana itafika kipindi ataanza kutoa papuchi kwa wajuba bila hofu yeyote na atakufanyia dharau kila aina!
Hii inaweza kupelekea kupata kesi ya mauaji uende jela maisha ama ujiue wewe mwenyewe ama uteketeze familia nzima!
Kwahiyo ni bora kukimbia mapema maana yajayo yanasikitisha!
All in all mwanaume tupambane sana kuhakikisha tunakuwa na uchumi imara kutunza familia zetu kinyume na hapo hakuna upendo wala heshima kwa Mwanamke
Huo ushauri wako mtoa mada wa kifa.la sana. Kuna shemeji yangu mmoja alikuwa anamkataza mkewe kufanya kazi yoyote, ila sasa hali ikiwa mbaya nyumbani anatafuta safari anaacha mkewe anahangaika na watoto. Baadae walikorofishana na mkewe akaenda kukaa kwenye nyumba yao nyingine, watoto wakawa wanapenda kwenda kule maana akiwa na hela kunakuwa na mapochopocho kama yoteila siku akiishiwa hela anasafiri kimya kimya anawaacha watoto wanashangaana
umepata shemeji mkuuHahahaaa, bora kukimbia na kuelekea kusikojulikana, maana yajayo yanasikitisha.
Huu ni uzi bora wa mwezi huu.
Bora agongwe huku nashuhudia kuliko kuwakimbia wanangu,. Yaani. Niwatekeze!
Hapana aisee !bora hio fedheha nipate kikamilifu lakini sio kuwakimbia .
Ninachojua hakuna heshima yoyote, hakuna ufahari wowote hakuna furaha yoyote katika umaskini, hii ndio sala yangu kwa sasa.
Ndugu acha kabisaa watoto ni kitu kingine aiseee! Ni dhamana aliotupa Mungu haijalishi nitapita wapi niwaaache.Umezaliwa na hao watoto?,umewahi kujiuliza ukifa hao watoto watakuwa kwenye hali gani?,ukifungwa maisha utawahudumia hao watoto?
Kama hamjapata mtoto sawa kimbia tu ila kam mtoto yupo sidhani kama ni vyema kumkimbia/ kuwakimbia mwanao/wanaoKukimbia pia ni moja kati ya mbinu za kivita pindi unapoona umezidiwa,unaweza ukajiona jasiri usikimbie ukabaki ukauwawa!
Nasema hivi mwanaume pindi unapoona uchumi wako umeyumba na ikifika kipindi huwezi tena kuendesha familia yaani inafika kipindi yaani huna mishe kabisa hadi unaamua kushinda nyumbani,maana hata ukitoka ni hola utaanza kuulizwa mbona umerudi mikono mitupu!
Ikifika hatua hii ni bora kukimbia na kwenda kusikojulikana kwa usalama wa afya yako maana sonona utayoipata kwa mkeo sio poa maana itafika kipindi ataanza kutoa papuchi kwa wajuba bila hofu yeyote na atakufanyia dharau kila aina!
Hii inaweza kupelekea kupata kesi ya mauaji uende jela maisha ama ujiue wewe mwenyewe ama uteketeze familia nzima!
Kwahiyo ni bora kukimbia mapema maana yajayo yanasikitisha!
All in all mwanaume tupambane sana kuhakikisha tunakuwa na uchumi imara kutunza familia zetu kinyume na hapo hakuna upendo wala heshima kwa Mwanamke
Umekose hapo kidogoTafuta pesa, oa, zaa. Huo ndo mtiririko sahihi.

Sio wa kwanza kumtafta, wengi wanaomtafta hawampati, subir akutafte yeye uku ukiendelea kupambania shida zakoUmenikumbusha wimbo wa Mchungaji Abuid Misholi.
Kumtafuta Mungu nadhani ndio suruhisho

Hapo kinachotakiwa kukuokoa ni mbio, hakuna namna nyingine.Khaa na wewe unaunga mkono hoja?
Umetema madini maziti sana humu. Inapaswa huu uwe uzi unaojitegemeaVijana Oeni wanawake wanaowapenda pasipo kujali una kitu au hauna kitu.
Mwanamke anaekupenda hawezi kukukimbia kwny shida au Raha.
Hao wenye chura na sura watumieni na wafanyeni michepuko TU,
Ukiishiwa unamkimbia speed 120 kwa usalama wako unarudi kwa mkeo kufarijiwa![]()




Tatizo hao wanawake wenye aina hii ya mapenzi unaambiwa ndio walikua front line wakati wa yale mapambano ya kumng'oa nduli Idd Amin Dada na bahati mbaya wote waliangamia hakuna aliefanikiwa kurudi.Vijana Oeni wanawake wanaowapenda pasipo kujali una kitu au hauna kitu.
Mwanamke anaekupenda hawezi kukukimbia kwny shida au Raha.
Hao wenye chura na sura watumieni na wafanyeni michepuko TU,
Ukiishiwa unamkimbia speed 120 kwa usalama wako unarudi kwa mkeo kufarijiwa![]()
Kitu pekee ambacho mwanaume anaruhusiwa kukimbia ni marathon 😄Kukimbia pia ni moja kati ya mbinu za kivita pindi unapoona umezidiwa,unaweza ukajiona jasiri usikimbie ukabaki ukauwawa!
Nasema hivi mwanaume pindi unapoona uchumi wako umeyumba na ikifika kipindi huwezi tena kuendesha familia yaani inafika kipindi yaani huna mishe kabisa hadi unaamua kushinda nyumbani,maana hata ukitoka ni hola utaanza kuulizwa mbona umerudi mikono mitupu!
Ikifika hatua hii ni bora kukimbia na kwenda kusikojulikana kwa usalama wa afya yako maana sonona utayoipata kwa mkeo sio poa maana itafika kipindi ataanza kutoa papuchi kwa wajuba bila hofu yeyote na atakufanyia dharau kila aina!
Hii inaweza kupelekea kupata kesi ya mauaji uende jela maisha ama ujiue wewe mwenyewe ama uteketeze familia nzima!
Kwahiyo ni bora kukimbia mapema maana yajayo yanasikitisha!
All in all mwanaume tupambane sana kuhakikisha tunakuwa na uchumi imara kutunza familia zetu kinyume na hapo hakuna upendo wala heshima kwa Mwanamke
Ukiwa hujawai filisiki hii sentence huwezi ielewa abadani!!Huwa zinaisha, maisha ni kupanda na kushuka. Kuna watu walikuwa na mipesa kibao sasa hivi wapowapo tu sio kwamba walikuwa wazembe...ni maisha tu yamewachezea mchezo mbaya