Mwanaume kimbia

Mwanaume kimbia

Huwa zinaisha, maisha ni kupanda na kushuka. Kuna watu walikuwa na mipesa kibao sasa hivi wapowapo tu sio kwamba walikuwa wazembe...ni maisha tu yamewachezea mchezo mbaya

Well said mkuu hakuna ajuaye kesho
 
Kukimbia pia ni moja kati ya mbinu za kivita pindi unapoona umezidiwa,unaweza ukajiona jasiri usikimbie ukabaki ukauwawa!

Nasema hivi mwanaume pindi unapoona uchumi wako umeyumba na ikifika kipindi huwezi tena kuendesha familia yaani inafika kipindi yaani huna mishe kabisa hadi unaamua kushinda nyumbani,maana hata ukitoka ni hola utaanza kuulizwa mbona umerudi mikono mitupu!

Ikifika hatua hii ni bora kukimbia na kwenda kusikojulikana kwa usalama wa afya yako maana sonona utayoipata kwa mkeo sio poa maana itafika kipindi ataanza kutoa papuchi kwa wajuba bila hofu yeyote na atakufanyia dharau kila aina!

Hii inaweza kupelekea kupata kesi ya mauaji uende jela maisha ama ujiue wewe mwenyewe ama uteketeze familia nzima!
Kwahiyo ni bora kukimbia mapema maana yajayo yanasikitisha!

All in all mwanaume tupambane sana kuhakikisha tunakuwa na uchumi imara kutunza familia zetu kinyume na hapo hakuna upendo wala heshima kwa Mwanamke
una msema ricky rick
 
Huo ushauri wako mtoa mada wa kifa.la sana. Kuna shemeji yangu mmoja alikuwa anamkataza mkewe kufanya kazi yoyote, ila sasa hali ikiwa mbaya nyumbani anatafuta safari anaacha mkewe anahangaika na watoto. Baadae walikorofishana na mkewe akaenda kukaa kwenye nyumba yao nyingine, watoto wakawa wanapenda kwenda kule maana akiwa na hela kunakuwa na mapochopocho kama yote ila siku akiishiwa hela anasafiri kimya kimya anawaacha watoto wanashangaana

umepata shemeji mkuu
 
Bora agongwe huku nashuhudia kuliko kuwakimbia wanangu,. Yaani. Niwatekeze!
Hapana aisee !bora hio fedheha nipate kikamilifu lakini sio kuwakimbia .

Ninachojua hakuna heshima yoyote, hakuna ufahari wowote hakuna furaha yoyote katika umaskini, hii ndio sala yangu kwa sasa.

Umezaliwa na hao watoto?,umewahi kujiuliza ukifa hao watoto watakuwa kwenye hali gani?,ukifungwa maisha utawahudumia hao watoto?
 
Umezaliwa na hao watoto?,umewahi kujiuliza ukifa hao watoto watakuwa kwenye hali gani?,ukifungwa maisha utawahudumia hao watoto?
Ndugu acha kabisaa watoto ni kitu kingine aiseee! Ni dhamana aliotupa Mungu haijalishi nitapita wapi niwaaache.
 
Kukimbia pia ni moja kati ya mbinu za kivita pindi unapoona umezidiwa,unaweza ukajiona jasiri usikimbie ukabaki ukauwawa!

Nasema hivi mwanaume pindi unapoona uchumi wako umeyumba na ikifika kipindi huwezi tena kuendesha familia yaani inafika kipindi yaani huna mishe kabisa hadi unaamua kushinda nyumbani,maana hata ukitoka ni hola utaanza kuulizwa mbona umerudi mikono mitupu!

Ikifika hatua hii ni bora kukimbia na kwenda kusikojulikana kwa usalama wa afya yako maana sonona utayoipata kwa mkeo sio poa maana itafika kipindi ataanza kutoa papuchi kwa wajuba bila hofu yeyote na atakufanyia dharau kila aina!

Hii inaweza kupelekea kupata kesi ya mauaji uende jela maisha ama ujiue wewe mwenyewe ama uteketeze familia nzima!
Kwahiyo ni bora kukimbia mapema maana yajayo yanasikitisha!

All in all mwanaume tupambane sana kuhakikisha tunakuwa na uchumi imara kutunza familia zetu kinyume na hapo hakuna upendo wala heshima kwa Mwanamke
Kama hamjapata mtoto sawa kimbia tu ila kam mtoto yupo sidhani kama ni vyema kumkimbia/ kuwakimbia mwanao/wanao
 
Vijana Oeni wanawake wanaowapenda pasipo kujali una kitu au hauna kitu.

Mwanamke anaekupenda hawezi kukukimbia kwny shida au Raha.

Hao wenye chura na sura watumieni na wafanyeni michepuko TU,

Ukiishiwa unamkimbia speed 120 kwa usalama wako unarudi kwa mkeo kufarijiwa
 
Hakuna kukimbia tulia hapohapo ili mungu aliekuumba akuone unavyodhalilika huenda akakuonea huruma......
 
Vijana Oeni wanawake wanaowapenda pasipo kujali una kitu au hauna kitu.

Mwanamke anaekupenda hawezi kukukimbia kwny shida au Raha.

Hao wenye chura na sura watumieni na wafanyeni michepuko TU,

Ukiishiwa unamkimbia speed 120 kwa usalama wako unarudi kwa mkeo kufarijiwa
Umetema madini maziti sana humu. Inapaswa huu uwe uzi unaojitegemea

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vijana Oeni wanawake wanaowapenda pasipo kujali una kitu au hauna kitu.

Mwanamke anaekupenda hawezi kukukimbia kwny shida au Raha.

Hao wenye chura na sura watumieni na wafanyeni michepuko TU,

Ukiishiwa unamkimbia speed 120 kwa usalama wako unarudi kwa mkeo kufarijiwa
Tatizo hao wanawake wenye aina hii ya mapenzi unaambiwa ndio walikua front line wakati wa yale mapambano ya kumng'oa nduli Idd Amin Dada na bahati mbaya wote waliangamia hakuna aliefanikiwa kurudi.
 
Kukimbia pia ni moja kati ya mbinu za kivita pindi unapoona umezidiwa,unaweza ukajiona jasiri usikimbie ukabaki ukauwawa!

Nasema hivi mwanaume pindi unapoona uchumi wako umeyumba na ikifika kipindi huwezi tena kuendesha familia yaani inafika kipindi yaani huna mishe kabisa hadi unaamua kushinda nyumbani,maana hata ukitoka ni hola utaanza kuulizwa mbona umerudi mikono mitupu!

Ikifika hatua hii ni bora kukimbia na kwenda kusikojulikana kwa usalama wa afya yako maana sonona utayoipata kwa mkeo sio poa maana itafika kipindi ataanza kutoa papuchi kwa wajuba bila hofu yeyote na atakufanyia dharau kila aina!

Hii inaweza kupelekea kupata kesi ya mauaji uende jela maisha ama ujiue wewe mwenyewe ama uteketeze familia nzima!
Kwahiyo ni bora kukimbia mapema maana yajayo yanasikitisha!

All in all mwanaume tupambane sana kuhakikisha tunakuwa na uchumi imara kutunza familia zetu kinyume na hapo hakuna upendo wala heshima kwa Mwanamke
Kitu pekee ambacho mwanaume anaruhusiwa kukimbia ni marathon 😄
 
Huwa zinaisha, maisha ni kupanda na kushuka. Kuna watu walikuwa na mipesa kibao sasa hivi wapowapo tu sio kwamba walikuwa wazembe...ni maisha tu yamewachezea mchezo mbaya
Ukiwa hujawai filisiki hii sentence huwezi ielewa abadani!!
 
Back
Top Bottom