Recent content by mzalendo 1

  1. mzalendo 1

    kama anakupenda kwanini akurekodi?

    Mkuu nlikuw sina connection, n mim ntupie kw PM niicheki kidg
  2. mzalendo 1

    Wallpapers

    Jamn sikuw na connection mweny na huyo dad aniPM
  3. mzalendo 1

    Nakupenda sana Matilda

    Au matlida alienikacha mimi kisa sina mbumba
  4. mzalendo 1

    Kwa mtu mwenye tsh. 200,000/- hii hapa hela ya bure tsh. 347,200/- kwa sekunde tu

    Mkuu vp umeend kumtembelea mama, maan naon Egypt alichokufany
  5. mzalendo 1

    Mtoto kutoka na haja ndogo bila kujizuia

    Nashukuru mkuu ila befor alikuwa anakojoa mwenyw bila kutoa taarifa
  6. mzalendo 1

    Mtoto kutoka na haja ndogo bila kujizuia

    Niende moja kwa moja kwny point, mtoto wangu mweny miak 4 anatokwa na mkojo, yan anahisi kutokwa na mkojo akitaka kuvua nguo mkojo tayar unamtoka,na usiku hujikojea mpk mar 3 je atakuw na tatizo au hali ya hewa, mwanzon hakuwa hivyo
  7. mzalendo 1

    Mbunge Prosper Mbena wa Morogoro Kusini Mashariki(CCM) amelisusa jimbo

    Mbena ni mbunge wa Morogoro kusini, mbunge wa Morogoro kusini mashariki ni naibu waziri wa kilimo mh Mgumba....
  8. mzalendo 1

    Omary Mgumba: Hizi ndio sababu za serikali kuhamishia fedha za taasisi zake BOT

    Kuna aina tofauti tofaut za kujibu maswali,hyo ni mojawapo,hebu rudi shule mkuu
  9. mzalendo 1

    Omary Mgumba: Hizi ndio sababu za serikali kuhamishia fedha za taasisi zake BOT

    Sas unataka nikusifie ki psychology natangaza hadharani, mwana upinzani yeyot akiniomb msaada nampa msaad wa mawazo nikiamin ndo wew
  10. mzalendo 1

    Omary Mgumba: Hizi ndio sababu za serikali kuhamishia fedha za taasisi zake BOT

    Mh mbunge na mh rais tupo pamoja msilegeze kamba
  11. mzalendo 1

    Hii hospitality ipo wapi.

    Hospital na hospitality ni maneno mawil tofaut yenye maan tofauti...
Back
Top Bottom