Mbunge Prosper Mbena wa Morogoro Kusini Mashariki(CCM) amelisusa jimbo

Umefeli
Nadhani jimbo bado hulijui. Nenda kafanye tena reconnaissance survey. Hayo yote uliyoytaja siyo matatizo ya jimbo hilo.

Tatizo kubwa ni ukosefu Wa barabara inayopitika muda wote. (All weather roads) kukishakuwa na barabara hayo yote uliyoyasema yanajileta yenyewe.

Nadhani kipaumbele chako cha kwanza kingekuwa barabara ya kuunganisha mji Wa Morogoro na jimbo,lakini barabara za kuunganisha kata muhimu za jimbo lote. Mfano. Kata ya kibungo juu kwenye kilimo cha maharage na matuda, kata ya tawa kwenye hospital ya wilaya, kata ya kisemu na konde kwenye kilimo cha viungo kama karafuu na hiriki. Kata ya Kisaki kupitia mvua na pori tengevu la kilengezi mpaka Dutumi.

Jiridhishe dhamira yako upya
Huenda hujui tu. Barabara hiyo ya Morogoro Kisaki/selous ipo kwenye plan tayari hivyo si agenda tena muda mfupi ujao, na isingekuwa agenda kama jiwe asingepindisha vipaumbele vya nchi hii. Pamoja na ile barabara ya mvuha ngerengere Ubena. Barabara zinazounganisha kata na vijiji ni agenda ndogo sana ambayo sidhani kama nitaifanya kama agenda kuu.

Agenda kuu ya Jimbo la Morogoro Kusini ni elimu na kilimo chenye tija mkuu. Shule zetu ni among the worst perfomer katika nchi hii. Jimbo halina hata technical schools/vocational training.

Hivyo sikuitaja agenda ya Barabara kwa kuwa najua ni agenda ya muda mfupi. Ni suala la huyu mpindisha vipaumbele tu kuondoka basi.
 
Huenda hujui tu. Barabara hiyo ya Morogoro Kisaki/selous ipo kwenye plan tayari hivyo si agenda tena muda mfupi ujao, na isingekuwa agenda kama jiwe asingepindisha vipaumbele vya nchi hii. Pamoja na ile barabara ya mvuha ngerengere Ubena. Barabara zinazounganisha kata na vijiji ni agenda ndogo sana ambayo sidhani kama nitaifanya kama agenda kuu.

Agenda kuu ya Jimbo la Morogoro Kusini ni elimu na kilimo chenye tija mkuu. Shule zetu ni among the worst perfomer katika nchi hii. Jimbo halina hata technical schools/vocational training.

Hivyo sikuitaja agenda ya Barabara kwa kuwa najua ni agenda ya muda mfupi. Ni suala la huyu mpindisha vipaumbele tu kuondoka basi.
Sasa ndiyo jukumu namba moja la mbunge. "Kuvutia kwake". Unatakiwa wende ukagombane na mawaziri pamoja na watendaji Wa wizara ili wasipindishe.

Mradi Wa barabarani ya Bigwa Kisaki ulikiwa katika Bajeti ya 2014/2015. Evaluation imeshafanyika lakini kwa kuwa hakuna MTU Wa kukumbushia hilo na Wanaona hata wasipotupa barabara kule watashinda tu, wanapeleka miradi kwa wenye akili.

Wewe mwenyewe wale wale tu. Ushahidi ni hilo Avatar lako. (Profile picture)
 
Kwanza jimbo nalijua vizuri. Pili nna nguvu za kutosha za kufika maeneo yote ya jimbo na kuendesha mikutano ya kufahamu changamoto za wananchi na kujadiliana namna ya kuzitatua. Tofauti na mbunge wa sasa ambaye kimsingi tayari alishafikia kustaafu hata utumishi wa umma. Tatu nna elimu nzuri inayoniwezesha niwe na uwezo mzuri wa kubaini fursa zilizopo jimboni na kuzisemea na/au kuziwasilisha serikalini na katika makundi mbalimbali ya undelezaji jamii.

Nne, nadhani unajua hali ya hewa nzuri ya uzalishaji wa mazao mbalimbali katika jimbo la Moro Kusini kama matunda nk, ni suala la kuwaunganisha wazalishaji na masoko mazuri ya ndani na nje ya nchi. Nitashawishi wananchi tuanzishe masoko ya matunda ya kisasa. Pia nitashawishi kuanzisha Agricultural skills modernization centers ili kukuza uwezo wa uzalishaji wa kilimo. Kuna agriculture centers kadhaa toka Israel na US zipo willing ku-sapoti uzalishaji wa mazao ya matunda na spices. Nimeshajadiliana nao(preliminary), na kuandaa detailed proposal kwa ajili ya hilo. Moja itajengwa Matombo nyingine kati ya Kisaki au Kolero mkuu. Mambo ni meengi.

Tano, nitasimamia ufanisi wa watendaji/watumishi wa umma jimboni ili kuwafanya wawe wabunifu na watumikie wananchi. Watumishi jimbo lile wanalifanya ni kama la bibi yao. Yapo mengi mkuu. Kwa kifupi jimbo linaenda kuokolewa. Labda wananchi wenyewe wakatae. Keep on watching.
Wewe unatoka kata gani? Ni mkutu au mluguru? Kisha nipime nafasi yako
 
Umefeli
Nadhani jimbo bado hulijui. Nenda kafanye tena reconnaissance survey. Hayo yote uliyoytaja siyo matatizo ya jimbo hilo.

Tatizo kubwa ni ukosefu Wa barabara inayopitika muda wote. (All weather roads) kukishakuwa na barabara hayo yote uliyoyasema yanajileta yenyewe.

Nadhani kipaumbele chako cha kwanza kingekuwa barabara ya kuunganisha mji Wa Morogoro na jimbo,lakini barabara za kuunganisha kata muhimu za jimbo lote. Mfano. Kata ya kibungo juu kwenye kilimo cha maharage na matuda, kata ya tawa kwenye hospital ya wilaya, kata ya kisemu na konde kwenye kilimo cha viungo kama karafuu na hiriki. Kata ya Kisaki kupitia mvua na pori tengevu la kilengezi mpaka Dutumi.

Jiridhishe dhamira yako upya
Wewe unalijua jimbo vizuri na shida zake. Nimeku endorse.
 
Wewe unalijua jimbo vizuri na shida zake. Nimeku endorse.
Wenyeji tupo tatizo kutaka uwakilishi kule lazima use na hela. Hawataki mbunge asiye na kitu. Wenyewe bwana msemo wao maarufu wanasema "mkono mtupu haulambwi". Jimbo lina rasilimali nyingi lakini hatujawahi pata msemaji kule
 
Ni dhahiri ameshindwa kuliongoza jimbo la Morogoro Kusini Mashariki. Haonekani Bungeni wala jimboni.

Tulimuona alipokuja kuhudhuria msiba Wa mama yake Mzazi tu. Baada ya hapo hatujui alipo.

Sasa huyu ni msemaji wetu, ni Mwakilishi wetu lakini naamini huko aliko sidhani kama anajua shida tunazokumbana nazo huku.

1. Jimbo hili halina hata centimeter moja ya barabara yenye kiwango cha lami

2. Jimbo hospital kubwa ya wilaya ipo katika kata tawa lakini vituo vidogo vilivyopo vipo dhohofu. Hata hii hospital inayoitwa ya wilaya hakuna tiba zinazoeleweka

Kokote ulipo mheshimiwa njoo utusikilize kero zetu ukatusemee, maana hiyo ndiyo kazi yako tuliyokupatia

View attachment 1077251
Kawadanganya sana wananchi na vyeti vyake vya Japan marekani n.k lakn utendaji kazi ovyo nishajaribu kumkumbusha mambo kadha WA kadha chaajabu sasahivi hata email hajibu
 
Sio Huyo tu Bali ni tabia ya wabunge wengi hasa Wa ccm. nasari ni mmojawapo aliliacha jimbo na ubunge kabisa...
 
Mbena ni mbunge wa Morogoro kusini, mbunge wa Morogoro kusini mashariki ni naibu waziri wa kilimo mh Mgumba....
 
Mkutu mwenyewe asilia nakuja kuchukua jimbo langu mwakani huyu Mzee katuchelewesha.
 
Yupo makao makuuu ya chama anaunga mkono juhüdi za sultan

Miongoni mwa wabunge wakusema ndiooo
 
Back
Top Bottom