Ndio ilivyo tanzania, Huoni mpaka sasa pesa yetu ya mafao bado tunakubaliana na ssra, Wanakomaa nazo utadhani tumewaomba watusaidie uzeeni wakati hata baba yangu alikuwa analima tu na akiugua anauza mahindi ili apate pesa ya tiba.FOOLISH TZyaani pesa yako alafu uanze kukubaliana na Mtu,hakuna kitu kama hicho benk inatakiwa iwe na mtaji wake,kaza baba hili
Wewe naona concept ya banking huielewi kabisa. Eti "iwe na mtaji wake"? Hivi wewe unafikiri benki inafanyaje kazi? Inachukua deposits za wateja na kuzikopesha kwa wateja wengine...bank inamtoza aliyekopa riba na inamlipa depositor riba pia. Duniani kote ndivyo benki zinavyofanya kazi. Hiyo inasaidia hela ya depositor..iende kwa mhitaji mwingine na yeye aweze kufanya shughuli ya kuzalisha...na ndio uchumi unavyokua. Sasa zote zimerundikwa BoT...zimekaa tu wala hazisaidii kukuza uchumi. Ni mtu asiyeelewa economics tu atakayefurahia jambo la namna hii.
Ahahaaaaa,, nahitaji pesa yangu iliyopo mezan naiona nianze kukubembeleza wakati muda mrefu ulikuwa ukinicheka,,,, mabank tafuten masoko mpyaaa,, upigaji na kuinyanyasa serikali kwishaaaIshu siyo serikali kuondoa pesa zake kwenye mabenki ya biashara ishu hapa ni Uharaka wa kuziondoa pesa hizo bila kuyapa mabenki muda wa kubadirisha business modal zao.
pili serikali ingeweza kukaa na mabenki na kuongea nayo ili iwepo win win situation, kwa mfano serikali ingeyaambia mabenki kuwa na yenyewe ipate asilimia fulani ya faida pindi benki zikikopesha zile pesa kwenda kwa biashara mbalimbali. Na pia yenyewe ikienda kukopa basi isitozwe riba, bali ipunguziwe faida yake pesa za serikali pindi zikikopeshwa kwa firms nyingine.
Yaani badala ya kutoa mapesa hayo kwenye mabenki ya biashara na kwenda kuyaatamia benki kuu, basi yangekuwa katika mzunguuko na kustimulate uchumi!
Yabidi kuwa wabunifu kama mchwa ili kukabili ugumu wa maisha
Hivi kwani ni mabenki mangapi ya biashara yaliyokuwa na hela ya serikali zaidi ya crdb...?!Hakukuwa na sababu yenye ujazo kuziondoa fedha za mashirika ya umma kwenye mabenki ya biashara kama kigezo pekee mnachokitaja ni hicho.
Walitakiwa kutoa waraka tu wenye maelekezo pamoja na mengine kuwa "itakuwa ni marufuku kuweka fedha za uma kwenye account ya muda maalumu"
Kanuni iambatane na maelekezo ya kupost BOT balance ya akiba ya mashirika yote ya uma kila siku ya kazi.
MCHEZO ULIKUWA UMEKWISHA.
Anachofanya JPM ni chuki iliyozalishwa na kupiga pushups jukwaani (kitendo kilichokejeliwa sana)
M bank, Nmb, crdb, exim bank, hata Nbc.Hivi kwani ni mabenki mangapi ya biashara yaliyokuwa na hela ya serikali zaidi ya crdb...?!
Wengine hata hili hawalioni. Ovyo sana. Safi sana Mbunge
Mi huwa najua ni crdb na NMB maana sioni kina stanbic na DTB wakilalamika...M bank, Nmb, crdb, exim bank, hata Nbc.
Chadema kama kawaida yao, naona wanahangaika kutetea mafisadi
Mbowe umefilisi Nhc, rudisha pesa
Stanbic walijifunga plaster walipotoa mapesa kwenye "sandarusi"Mi huwa najua ni crdb na NMB maana sioni kina stanbic na DTB wakilalamika...
Kwa kuwa sikufahamu, na umenishambulia ki psychology natangaza hadharani, mwana ccm yeyote akiniomba msaada nampa makavu nikiamini ndio wewe.Mh mbunge na mh rais tupo pamoja msilegeze kamba
You made my day. Hahahaha.Gari bovu linaloemdeshwa na vipofu
best solution every.Hakukuwa na sababu yenye ujazo kuziondoa fedha za mashirika ya umma kwenye mabenki ya biashara kama kigezo pekee mnachokitaja ni hicho.
Walitakiwa kutoa waraka tu wenye maelekezo pamoja na mengine kuwa "itakuwa ni marufuku kuweka fedha za uma kwenye account ya muda maalumu"
Kanuni iambatane na maelekezo ya kupost BOT balance ya akiba ya mashirika yote ya uma kila siku ya kazi.
MCHEZO ULIKUWA UMEKWISHA.
Anachofanya JPM ni chuki iliyozalishwa na kupiga pushups jukwaani (kitendo kilichokejeliwa sana)
Sas unataka nikusifie ki psychology natangaza hadharani, mwana upinzani yeyot akiniomb msaada nampa msaad wa mawazo nikiamin ndo wewKwa kuwa sikufahamu, na umenishambulia ki psychology natangaza hadharani, mwana ccm yeyote akiniomba msaada nampa makavu nikiamini ndio wewe.
Waliofilisi nchi ni ccm. Si mbowe wala Lowassa,Chadema kama kawaida yao, naona wanahangaika kutetea mafisadi
Mbowe umefilisi Nhc, rudisha pesa
Kudesa ndio zenyuuuSas unataka nikusifie ki psychology natangaza hadharani, mwana upinzani yeyot akiniomb msaada nampa msaad wa mawazo nikiamin ndo wew