Omary Mgumba: Hizi ndio sababu za serikali kuhamishia fedha za taasisi zake BOT

Hiki ndicho alichokisema Mbunge wa jimbo la Morogoro Kusini Mashariki Omary Mgumba bungeni mjini Dodoma, pamoja na mambo mengine amesema amepongeza hatua ya serikali ya kuhamisha fedha za mashirika ya umma na taasisi za serikali kwenye mabenki na kuzipeleka benki kuu (BOT)

Ametolea mfano kuna taasisi kama bandari walikuwa waliweka fedha kiasi cha bilioni 440 kwenye fixed account ya mabenki ya kibiashara kwa riba ya 4.3 kwa mwaka, na kwenda kukopa kwenye benki hizo milioni 100 kwa ajili ya miradi yake kwa riba ya juu zaidi.

Ametaka Rais asilegeze iendelee na msimamo huo huo kuwe na nidhamu



hiyo 4.3 umeitoa wapi?
 
Wewe naona concept ya banking huielewi kabisa. Eti "iwe na mtaji wake"? Hivi wewe unafikiri benki inafanyaje kazi? Inachukua deposits za wateja na kuzikopesha kwa wateja wengine...bank inamtoza aliyekopa riba na inamlipa depositor riba pia. Duniani kote ndivyo benki zinavyofanya kazi. Hiyo inasaidia hela ya depositor..iende kwa mhitaji mwingine na yeye aweze kufanya shughuli ya kuzalisha...na ndio uchumi unavyokua. Sasa zote zimerundikwa BoT...zimekaa tu wala hazisaidii kukuza uchumi. Ni mtu asiyeelewa economics tu atakayefurahia jambo la namna hii.
Economics bongo...halafu justify Biashara gani ambazo zimeshafanyika za kukuza uchumi zilizokwisha fanyika wakati fedha ya serikali ilipokuwa kwenye hayo mabenki ya biashara
 
Ishu siyo serikali kuondoa pesa zake kwenye mabenki ya biashara ishu hapa ni Uharaka wa kuziondoa pesa hizo bila kuyapa mabenki muda wa kubadirisha business modal zao.

pili serikali ingeweza kukaa na mabenki na kuongea nayo ili iwepo win win situation, kwa mfano serikali ingeyaambia mabenki kuwa na yenyewe ipate asilimia fulani ya faida pindi benki zikikopesha zile pesa kwenda kwa biashara mbalimbali. Na pia yenyewe ikienda kukopa basi isitozwe riba, bali ipunguziwe faida yake pesa za serikali pindi zikikopeshwa kwa firms nyingine.

Yaani badala ya kutoa mapesa hayo kwenye mabenki ya biashara na kwenda kuyaatamia kama mayai kule benki kuu, basi yangekuwa katika mzunguuko na kustimulate uchumi!

Hapakuwa na sababu za msingi ya kuziondoa hizo pesa kutoka mabenki binafsi. Issue ya muhimu ilikuwa ni kuweka CONTROL itakazofanya Mashirika yenye FIXED ACCOUNT zenye fedha nyingi kama bandari zisiweze kukopa fedha benki fedha ambazo tayari fixed account zao zina fedha hizo.

Solution mojawapo ingekuwa ni kufungua CALL ACCOUNT ambazo ni fixed account na inakupa riba ila unaweza kuchukua fedha zako wakati wowote. Maturity Period ya Call Account iko open na inategemea maamuzi ya mwenye account hiyo.
 
Pesa za walipa Kodi siyo za kufanyia Biashara fullstop. Kazi kubwa ya Serikali ni kutoa huduma hongera Raisi kwa kuliona hilo. Mchezo uliokuwa kukichezwa na Mabenki dhidi ya Serikali ulikuwa haukubaliki. Pesa zile zile Serikali wanakuja kukopeshwa kwa Riba Kubwa wakati huo Pesa za Umma zilizoko Benki zinapta riba ndogo..

Na shauri hata sasa Serikali iimarishe Benki ambazo serikali ina share Kubwa.Kufanya hivyo tutarudhisha machozi ya Mwalimu Julius K.Nyerere kuhusiana na utaifishaji wa NBC ltd wakati wa Ben.Kama Nchi kuna hajapesa za walipa Kodi kuwa kwenye Benki za Umma. Kwa Bahti nzuri TPB inamatawi maeneo mengi nchi hii hivyo ipewe uwezo na Pesha zote za hamaashuri zipitie huko.



Ownership
The stock of the bank is listed on the Dar es Salaam Stock Exchange, under the symbol: NMB.[6] NMB stock is owned by institutions and private individuals as detailed in the table below:[7]

National Microfinance Bank Stock Ownership
Rank
Name of Owner Percentage Ownership
1 Rabobank of the Netherlands 34.9
2 Government of Tanzania 30.0
3 Private Investors via DSE 21.0
4 National Investment Company Limited (NICOL) 6.6
5 Exim Bank (Tanzania) 5.8
6 TCCIA Investment Company Limited 1.7
7 TOTAL 100.0


Share holding structure - Tanzania Postal Bank
UrlAdvisorGoodImage.png




pdf.png
Shareholding Structure September 2015

Download
 
Ishu siyo serikali kuondoa pesa zake kwenye mabenki ya biashara ishu hapa ni Uharaka wa kuziondoa pesa hizo bila kuyapa mabenki muda wa kubadirisha business modal zao.

pili serikali ingeweza kukaa na mabenki na kuongea nayo ili iwepo win win situation, kwa mfano serikali ingeyaambia mabenki kuwa na yenyewe ipate asilimia fulani ya faida pindi benki zikikopesha zile pesa kwenda kwa biashara mbalimbali. Na pia yenyewe ikienda kukopa basi isitozwe riba, bali ipunguziwe faida yake pesa za serikali pindi zikikopeshwa kwa firms nyingine.

Yaani badala ya kutoa mapesa hayo kwenye mabenki ya biashara na kwenda kuyaatamia kama mayai kule benki kuu, basi yangekuwa katika mzunguuko na kustimulate uchumi!
Hiyo unayosema imo kwenye taratibu za fedha!
 
Tatizo nikuchukua fedha za serikali kwenda kucheza upatu. Wakati kunafedha haziendikufanya kazi iliyo kusudiwa. Watu wanatengeneza faida alafu wanagawana. Mnaishia kulaumu serikali. Mabenki ya washawishi wateja wao/wananchi wafanyenao michezoiyo.

Sawa, hivi sasa ziko BoT chini ya serekali, ila mbona bado huko kwenye halmashauri zimeenda chini ya nusu kwa ajili ya maendeleo?
 
Wewe naona concept ya banking huielewi kabisa. Eti "iwe na mtaji wake"? Hivi wewe unafikiri benki inafanyaje kazi? Inachukua deposits za wateja na kuzikopesha kwa wateja wengine...bank inamtoza aliyekopa riba na inamlipa depositor riba pia. Duniani kote ndivyo benki zinavyofanya kazi. Hiyo inasaidia hela ya depositor..iende kwa mhitaji mwingine na yeye aweze kufanya shughuli ya kuzalisha...na ndio uchumi unavyokua. Sasa zote zimerundikwa BoT...zimekaa tu wala hazisaidii kukuza uchumi. Ni mtu asiyeelewa economics tu atakayefurahia jambo la namna hii.

Ndiyo maana lazima tupate rais anayejua economics. Rais huyo bado hatujampata kabisaaa tangu uhuru. Kenya walifanikiwa kumpata Kibaki na ndiyo katika Enzi yake kulikuwa na mafanikio makubwa ambayo yanasaidia hadi leo. Sisi tulibarikiwa wanasiasa/mdomo na wababaishaji wa uchumi.
Rais ana nia njema lakini hii si namna ya ku deal na economy. Ni kama mababu zetu waliokuwa na fedha nyingi kasha wakaziweka kwenye magunia na kila jua litokapo wanazianika. Hakuna mantiki yeyote ya kuondoa fedha kutoka mabenki na kuzijaza BOT bila kazi, unless, ikiwa kipindi hiki anafanyia kazi banking act mpya, kabla ya kuzirelease tena.
 
Ishu siyo serikali kuondoa pesa zake kwenye mabenki ya biashara ishu hapa ni Uharaka wa kuziondoa pesa hizo bila kuyapa mabenki muda wa kubadirisha business modal zao.

pili serikali ingeweza kukaa na mabenki na kuongea nayo ili iwepo win win situation, kwa mfano serikali ingeyaambia mabenki kuwa na yenyewe ipate asilimia fulani ya faida pindi benki zikikopesha zile pesa kwenda kwa biashara mbalimbali. Na pia yenyewe ikienda kukopa basi isitozwe riba, bali ipunguziwe faida yake pesa za serikali pindi zikikopeshwa kwa firms nyingine.

Yaani badala ya kutoa mapesa hayo kwenye mabenki ya biashara na kwenda kuyaatamia kama mayai kule benki kuu, basi yangekuwa katika mzunguuko na kustimulate uchumi!
Mkuu nakumbuka kuna kauli mtukufu malaika aliwahi kutamka kuwa "fedha zinapotea sababu kuna watu wamezificha"lakini akasahau kuwa kwa amri yake ya kuondoa fedha za taasisi za serikali kwenda BOT ni sawa na mtu anayeficha fedha kwenye kibubu. Mimi namshangaa Dr. Mpango kuwa kimya kwenye hili kwa kuwa kulingana weledi alionao anajua wazi madhara ya hatua hii kiuchumi ndiyo maana baadhi ya mabenki yamesitisha mikopo kwa wafanyabiashara na kwa tendo hili tusubiri mda mfupi ujao hali ya kiuchumi itakuwa mbaya zaidi ya hii iliyopo.
 
Ishu siyo serikali kuondoa pesa zake kwenye mabenki ya biashara ishu hapa ni Uharaka wa kuziondoa pesa hizo bila kuyapa mabenki muda wa kubadirisha business modal zao.

pili serikali ingeweza kukaa na mabenki na kuongea nayo ili iwepo win win situation, kwa mfano serikali ingeyaambia mabenki kuwa na yenyewe ipate asilimia fulani ya faida pindi benki zikikopesha zile pesa kwenda kwa biashara mbalimbali. Na pia yenyewe ikienda kukopa basi isitozwe riba, bali ipunguziwe faida yake pesa za serikali pindi zikikopeshwa kwa firms nyingine.

Yaani badala ya kutoa mapesa hayo kwenye mabenki ya biashara na kwenda kuyaatamia kama mayai kule benki kuu, basi yangekuwa katika mzunguuko na kustimulate uchumi!
we vipi?
Ujadiliane na benki kuhusu kuondoa amana yako?uliona wapi hiyo?
Benki ndio walitakiwa waipigie magoti serikali isiondoe pesa yake kwa kuwapa ofa ya vivutio kama ingewezekana
 
Tat
Wewe naona concept ya banking huielewi kabisa. Eti "iwe na mtaji wake"? Hivi wewe unafikiri benki inafanyaje kazi? Inachukua deposits za wateja na kuzikopesha kwa wateja wengine...bank inamtoza aliyekopa riba na inamlipa depositor riba pia. Duniani kote ndivyo benki zinavyofanya kazi. Hiyo inasaidia hela ya depositor..iende kwa mhitaji mwingine na yeye aweze kufanya shughuli ya kuzalisha...na ndio uchumi unavyokua. Sasa zote zimerundikwa BoT...zimekaa tu wala hazisaidii kukuza uchumi. Ni mtu asiyeelewa economics tu atakayefurahia jambo la namna hii.
Tatizo mabank yetu hayataki kufanya biashara na watu Bali serikali. Ndiyo mana hata customer care nilikuwa poor. Ukippeleka kudeposit pesa zako mwenyewe unanuniwa utafikili umefanya kosa. Sasa hivi customer care au satisfaction lazima itakuwa huu. Hata atakayepeleka laki mmoja kudeposit lazima wamtake with great care. Ile dhana ya mteja ni mfalme itarudi sana. Mabank tellers walikuwa na nyodo sana mi kuna mmoja nimewhawahi kumtukana na yeye akanijibu kuwa wateja wapo wengi sana mi nikiondoka ni kama tone kwenye maji. Magufuli anataka kuzifanya bank zifanye kazi kwa ushindani kugombania wateza na hapo ndo kutakuwa na maximum efficiency kama ulaya. Nenda baclays ni tofauti sana na crdb au NBC ktk customer care
 
Dereva anakimbiza gari kwa mwendo usiokubalika na kuna watu wanashangilia. Kwa kawaida ni hao hao ndo watakaolaumu sana kikitokea cha kutokea. Tuweke akiba ya maneno!
 
Chadema kama kawaida yao, naona wanahangaika kutetea mafisadi


Mbowe umefilisi Nhc, rudisha pesa
Are you an economist or you are writing for the sake of writing? Tunaopoteza uchumi ni wote na hatuna vyama. Sit down study how banks works and come back with your criticisms. Jua nchi kama marekani inakopa uchina iweje Tz inashindwa kuwekeza kwenye hata bank zetu za hapa nyumani? Think, digest before you comment. Mihemko ya siasa haitatufikisha popote. Mwalimu alikataa kuwa jiwe, tuliokuwa hai wakati huo tunajua yaliyotutokea. Tulikosa hata chumvi majumbani halafu unaleta utani kama huu?? Go read what happened in Tz in 1999 na kuendelea baada ya vita ya Kagera. Maamuzi yetu yalipotufikisha. Siasa ni dynamic uchumi ni how you embress it. Tunaoumia ni watu tusiokuwa na vyama yawezekana chadema unaowasema wana mitaji yao na nyie ccm mlishajijazia huko uswiss je sisi kajamba nani tule wapi?
 
Hata huko BOT hakuna pesa ya kutosha sehemu kubwa ya pesa iimetumika kununulia bombandier kwa pesa taslimu nyingine imewekwa downpayments kwa ndege zinazokuja.Anayetakiwa kuwajibika hapo ni waziri wa fedha na gavana wa BOT ambao walitakiwa kumshauri rais kitalaam madhara ya kukumbatia pesa yote
 
Back
Top Bottom