Recent content by mwl seleman

  1. M

    Simpendi faizafoxy...sijui kwanini

    Mpende adui yako
  2. M

    Edward Lowassa azungumza na vyombo vya habari, Ailaumu NEC kutoa matokeo yanayompendelea Magufuli

    Kikubwa ni kusubiri mpaka mwisho tuone ninikinatokea
  3. M

    Usifungue hapa (Danger)!

    Nimefungua.kidogo nikafunga
  4. M

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwanza sehemu gani taja na wilaya au upo.mkoani
  5. M

    Shule ya Mbuyuni Kutoa First Ladies Wawili

    Kwa hoyo wewe.utakua.raisi mke akiwa mwl mbuyuni
  6. M

    Chaguo la Mchungaji: Mgombea Urais wa CCM

    Chaguo ni Lowasa tu
  7. M

    Dawa: Akina dada wachepukaji

    Huyo dada hakufikiri laiti angejua asingefanya kitu hicho huo ndio.mshahara wa dhambi amejitia aibu bure
  8. M

    Nimechuma mali na mme wangu, lakini sasa anachepuka hakumbuki hata familia yake

    Pole dada omba mungu kwa kupiga goti kwa mungu nae anajibu
  9. M

    Wema Sepetu kugombea Ubunge viti maalum Singida

    Acha ajaribu bahati yake ameshaona.anaweza.
  10. M

    Mwanaume wangu yupo busy, nifanye nini?

    Tueleze anafanya kazi gani.yakumfanya hata usiku ashindwe kuwasiliana na wewe
  11. M

    Baba mzazi wa mgombea urais Amos Siyantemi

    Hilo ndilo neno la msingi sio kuleta misifa ya baba yake
  12. M

    Mke wangu amerudi nyumbani, Lakini haniongeleshi, unyumba sipewi

    Tamaa ni mbaya fikiri kabla ya kutenda je angefanya mkeo na kaka wa kazi ungependezwa
  13. M

    Kitila Mkumbo asimamishwa uongozi UDASA

    Kawaida katika maisha ya binadamu
Back
Top Bottom