mfungwa
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 1,294
- 345
Subir azoee utashanga mwenyewe,ndiyo utajua makeke ya wahaya yakoje,hyo ni mhaya bna achana nae kabisa
Sio mhaya bwana
Subir azoee utashanga mwenyewe,ndiyo utajua makeke ya wahaya yakoje,hyo ni mhaya bna achana nae kabisa
Duh!! Kumbe Magufuli maisha take yote Dar. Mimi nilifikiri ni Chato.
inawezekana lakini sasa wewe ni binti kiziwi sitoweza kunong'ona kwenye simu. itabidi niongee kwa sauti kubwa ambayo bila shaka itamstua mam sap. siunajua tena akina kibonde watapata cha kusema, sijui baki njia ....... we jamaa umejua kunichekesha! Kwani unampango wa kuwa waziri kwenye serikali ijayo? Kama ndivyo can I be your mchepuko plz?
Katika hali isiyo ya kawaida, kama itatokea Dr. Magufuli akashinda na kuwa rais, mke wake aitwaye Janet magufuli atakuwa ni mke wa pili wa rais kutoka shule ya msingi Mbuyuni. Shule hiyo ndiyo anayofundisha mke wa Rais Kikwete mama Salma Kikwete. What a Coincidence!
First Lady Mwalimu wa Shule ya Msingi then mnashangilia.....Ndio maana maraisi wetu hasa aliyepo sasa alikuwa ana underpafomu sana hakuwa na ushauri kutoka kwa mkewe.....
na mimi nahamishia mke wangu mbuyuni kuanzia mwaka huu.
Katika hali isiyo ya kawaida, kama itatokea Dr. Magufuli akashinda na kuwa rais, mke wake aitwaye Janet magufuli atakuwa ni mke wa pili wa rais kutoka shule ya msingi Mbuyuni. Shule hiyo ndiyo anayofundisha mke wa Rais Kikwete mama Salma Kikwete. What a Coincidence!