mafinyofinyo
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 4,404
- 3,276
Jamaa kafanya vizuri. Dem kamwaga ugali jamaa akamwaga mboga na kukomba kabisa
now you talking, lakini huyo demu ni kiazi.
mi nawasiwasi huyu hajatuelezea vizuri ugomvi wao wote.....pia yawezekana jamaa kazi hawezi akamtumia video kumdolishia mwanaume mwenzie
Mademu huwa wanaakir ya hivyo sijui kwann akisha mpiga chini jamaa yake wazani hata kama hawajaagana rasmi anataka we mpya ndio huwe unapokea hata simu za mpez Wa zaman, hapo atakupa story kibao kuhusu huyo Wa zaman Na we ukiunga mkono basi anatafta namna ya kumdhalilisha akiwa Na we mpya ,
hawa wanaume wa dar kazi kweli kweli kazi kula viepe akili hamna tena
Usitokwe na povu bure, wanigeria si wapo wa kuwachezea na kuwatumia?
Nikajua itatumika kwa wanawake wote.