Recent content by Mwl.RCT

  1. Mwl.RCT

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Humu watu wanahamu sana ya kunfasex

    *** Mjadala wa jukwaa unaanza kwa SweetyCandy kuwakosoa wanajukwaa kwa kutafuta ngono na wenza waziwazi na "kwa kujiabisha". Anawakemea hasa wanawake kwa machapisho ya "kuaibisha" na wanaume kwa kujadili masuala kama upungufu wa nguvu za kiume, akisikitishwa na kushuka kwa hadhi ya jukwaa...
  2. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Pixel 9 (Direct from USA)
  3. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Utambulisho wako wa JamiiForums (jina) chanzo chake ni nini?

    Nikifa MkeWangu Asiolewe ( Je nini hasa chanzo cha hii "idii" yako? )
  4. Mwl.RCT

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Maisha bila watoto wala ndoa

    Nukuu: "Mipango ya Kuwa na Familia Tupac aliwahi kufunga ndoa fupi na Keisha Morris, lakini hawakubahatika kupata mtoto katika kipindi hicho. Kulingana na maelezo ya Keisha, walikuwa na mipango thabiti ya kuanzisha familia na hata walishachagua majina ya watoto wao wa baadaye (Michelangelo kwa...
  5. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Wakuu naombeni msaada, hii ndoto ina maana gani?

    Pole sana kwa kuondokewa na rafiki yako wa karibu. Inaonekana wazi kwamba urafiki wenu ulikuwa wa kipekee — mlitembea njia moja kwa muda mrefu, mkifanana kwa kila hatua. Ni jambo zito kupoteza mtu uliyemwona kama kioo cha maisha yako. Acha tutafakari pamoja, kwa upole, maana zinazowezekana za...
  6. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Wadau naomba recommendation ya model nzuri ya laptop ya mtumba ndani ya 800K–1M

    Kiukweli nyingi huanzia 1.2M
  7. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Msaidizi wa Lissu apatikana baada ya kudaiwa kutekwa akiwa na pingu mkononi pamoja na majeraha

    The correct name of the song is "Life in the Movies" by the South African reggae artist Lucky Dube The exact lyric from the song is, "We can't sit down - something must be done." You can find the track on his 1995 album, Trinity
  8. Mwl.RCT

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mke adai talaka na kugawana mali kwa kumzuia kutoenda msibani Hadi nitakapo rudi, nimemwambia chukua Kila kitu

    Rekebisha hii kauli. Hajamzuia kwenda, Bali amempa mwongozo na options za kwenda. Ni jukumu lake kuchagua moja kati ya options alizopewa.
  9. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania The 'Healthy' Foods quietly destroying your body

    EVIDENCE REPORT: THE "HEALTHY" FOODS QUIETLY DESTROYING YOUR BODY Source Video: The Diary Of A CEO — "The Sugar Doctor's WARNING: The 'Healthy' Foods Quietly Destroying Your Body! - Dr David Unwin" https://www.youtube.com/watch?v=zc8Nh4TMB1s 1. EXECUTIVE SUMMARY In this interview, Dr. David...
  10. Mwl.RCT

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada wa kuishi na mwanamke mfanyakazi/mtumishi

    Na hili (akili yake) hutegemea zaidi Malezi toka kwa Baba na Mama. Mazingira ya Makuzi yake. Je amelelewa kwenye malezi ya kumfanya awe na Hofu ya mungu?, Je ni mshika Dini kwa kiasi gani?
  11. Mwl.RCT

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kiukweli hawa watu ni watamu kinoma

    - Yale yale: Umejichanga umemnunualia mkeo Range Rover, Anapewa uroda yule anayemsaidia kubadili tairi, ukimuuliza umempendea nini huyo kijana, Atakwambia jasho lake linanukia vizuri.
  12. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Ukiona ni chai chukua kikombe kikubwa na mkate unywe

    [Je AI inasema nini kuhusu hii hoja]
  13. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Ukweli mchungu, Familia nyingi hupatwa na Sonona, Fedheha pale Watoto wao wasipo olewa au kuoa mbaya zaidi asipopatikana ata Mjukuu

    Ila umetufumba sana. maswali niliyobakiwa nayo ni mengi kiasi.
Back
Top Bottom