Recent content by Mwl.RCT

  1. Mwl.RCT

    Kwa wenye 45+, mambo gani ya kuzingatia?

    Acha kabisa. Kwa kuzingatia kuwa hauko peke yako, Mfanoi hai, Angalia hapa nini kilichomkuta huyu penda dogodo:
  2. Mwl.RCT

    How a failed meeting in Geneva started a war with Iran

    Imagine you are sitting at a table in Geneva. It’s late February, 2026. For months, the world has been holding its breath. You are there to negotiate the limits of Iran’s nuclear and missile programs. But the talks stall. Progress flatlines. Therefore, a quiet, devastating decision is made...
  3. Mwl.RCT

    Onyo kwa wanaotumia mafuta wakati wa kufanya mapenzi

    Tatizo thread imekuwa too general "Mafuta". Ila kuna aina za mafuta ambayo Madaktari hupendekeza kwa wenye shida(Changamoto za kiafya), na mafuta hayo hayana madhara.
  4. Mwl.RCT

    Onyo kwa wanaotumia mafuta wakati wa kufanya mapenzi

    - Mwana dada anayetumia Dawa za kisukari kwa muda mrefu: Kukosa hisia na chini kuwa kukavu ni hali ya kawaida, Hata kwenye semina za wagonjwa wa kisukari huwa wanaelemishwa jinsi gani ya kukabilian na hali hiyo.
  5. Mwl.RCT

    Ni muda muafaka wa kupokea ushuhuda kuhusu ule uzi wa tiba ya chumvi ya mawe wa Mshana Jr

    Je ulifanyaje? Je ni chumvi tu, Au kuna mseto wa vitu vingine (viz Karafuu, mdalasini). Msikie huyu:
  6. Mwl.RCT

    Onyo kwa wanaotumia mafuta wakati wa kufanya mapenzi

    Kuna wenye matatizo ya kiafya (jinsi KE). Bila mafuta Bila Bila.
  7. Mwl.RCT

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Je waweza share link yake?
  8. Mwl.RCT

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    --- Whatsapp Inachangamoto - Nashughulikia irejee kwa namba husika.. Hivyo kuwasiliana nami Piga hizo namba au Tuma ujumbe Telegram
  9. Mwl.RCT

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    - Kwa aliexpress, umakini ni muhimu, kun abaadhi ya wauzaji bidhaa zao kuzipata ni zaidi ya Miezi mitatu, na huwa ni 50/50 upate bidhaa au usipate kabisa. - Hivyo ni veyema kuwa mwangalifu katika kuchagua bidhaa/ seller ili kuhakikisha kile unachokilipia unakipata katika muda stahiki.
  10. Mwl.RCT

    Habari zenu wataalam wa kodi, nina swali hapa

    --- 1. Ili iwe ZERO xyz hatakiwi kuwepo. 2. Badili makaratsi ili mkataba uwe direct kati ya KEDA direct to ABC = Hapo hakuna VAT sababu muamala ni wakimataifa.
  11. Mwl.RCT

    Kuanzia kiwango hiki wewe ni tajiri

    - Kikubwa ni Afya njema
  12. Mwl.RCT

    SI KWELI Video hii ni Tembo akimuokoa chui kwenye kwenye mafuriko huko Indonesia

    -- Kheri ya Mwaka 2026 ( Japo kwa kuchelwa )
  13. Mwl.RCT

    Ni njia ipi bora ya kufanya malipo ya kununua bidhaa online? debit au prepaid card?

    - Zote ni salama. - Unapaswa kufikiria factor zingine kama customer care pindi: 1. Umefanya muamala, fedha imekatwa, muamala upande wa pili manunuzi hayajakamilika - Kwa swala kama hili Benki huduma ni bora zaidi. Kwa mitandao ya simu ni pasua kichwa kushughulikia swala lako kwa wakati. -...
  14. Mwl.RCT

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    TZS. 161,400 Nipigie/whatsapp 0788 203 160
Back
Top Bottom