Napingana nawe katika hili.
1. Hapa JF kuna shuhuda kadhaa - za waliopata mke/mume
2. Hapa JF kuna wengi wengine wanahitaji mke/mume
3. Waliopo mtandaoni ndio hao hao waliopo mtaani
Faida ya kutumia mtandao kama media ya kufikisha ujumbe ni kuwa mtu anajitathimini kuwa na nia ya dhati...
[scenario]
Mwanamke kaolewa na asiye mpenda ( wazazi walihusika)
Mwanamke kaolewa akiwa na Mimba ya wiki kadhaa toka kwa aliyempenda ( Maskini)
Mwanamke alipo hitaji mtoto wa pili - Alimtafuta yule yule ampendaye ampe mimba - kwa kigezo hataki watoto wachanganye damu za baba tofauti.
[Haya si...
We built systems that say "I'm confused" and "I'm here for you." Does anyone actually feel it?
I hosted Dr. Elena Voss (Cognitive Neuroscience, UvA) and Dr. Arjun Patel (Computer Science, TU Delft) to bridge two worlds:
Hard Problem, Global Workspace Theory vs Integrated Information Theory...
Chanzo: BBC
BBC Africa Eye inamwangazia kiongozi wa upinzani wa Tanzania aliyeko kizuizini, Tundu Lissu, ambaye sasa anakabiliwa na changamoto kubwa zaidi katika maisha yake ya kisiasa. Baada ya kutumia zaidi ya mwaka mmoja kizuizini kwa mashtaka ya uhaini, Lissu hapiganii tu uhuru wake bali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.