Recent content by Mwl.RCT

  1. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Rasmi najiingiza kwenye mziki kama msanii wa bongo fleva. Save the date, 7 October

    Ai - Nimeipa mashairi (Prompt) na kuchagua sauti: NIKABORESHA MASHAIRI NA KUTOA HII === NICHUKUE NAFASI HII KUWEKA TANGAZO Iwapo una idea ya kumiliki wimbo - wasiliana nami kwa quotation. Ambapo: Phase1 1. Nitaandaa mashairi 2. Nitaandaa Auido sample 3. Ukithibitisha audio imepita - Phase2...
  2. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Rasmi najiingiza kwenye mziki kama msanii wa bongo fleva. Save the date, 7 October

    Kula chuma hiki
  3. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Trump: We're winning big with Iran

    Hasara - Audio
  4. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Trump: We're winning big with Iran

  5. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Trump: We're winning big with Iran

    Trump: "Tunashinda sana dhidi ya Iran." Lakini ndani ya saa 24 — Marekani yapoteza 25% ya ndege zake za Reaper, meli ya Lincoln yarudi baada ya siku 266, Iran yasisitiza Hormuz ni yake. Ushindi si sawa na kumaliza vita. Audio2_Hasara
  6. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Good old days

  7. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Good old days

  8. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Biashara Yako Haionekani Mtandaoni? Hapo Ndipo Unapopoteza Wateja

    Mada nzuri Nasubiri mwendelezo.
  9. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    Ifikapo tarehe: Aug 19, 2026 (wiki kesho siku kama ya leo) Hii thread inatimiza umri wa miaka 10
  10. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

  11. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Hivi kati ya chatgpt, Gemin na meta AI nani anatoa taarifa za kweli?

    Pata access ya Paid Package: natumia Opus 5 or GPT 5.6 Sol //
  12. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Natafuta mke

    - Umri sio tatizo linapokuja swala la Mwanaume kuoa.
  13. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Natafuta mke

    Napingana nawe katika hili. 1. Hapa JF kuna shuhuda kadhaa - za waliopata mke/mume 2. Hapa JF kuna wengi wengine wanahitaji mke/mume 3. Waliopo mtandaoni ndio hao hao waliopo mtaani Faida ya kutumia mtandao kama media ya kufikisha ujumbe ni kuwa mtu anajitathimini kuwa na nia ya dhati...
  14. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Hauwezi ukanunua upendo!!!

    [scenario] Mwanamke kaolewa na asiye mpenda ( wazazi walihusika) Mwanamke kaolewa akiwa na Mimba ya wiki kadhaa toka kwa aliyempenda ( Maskini) Mwanamke alipo hitaji mtoto wa pili - Alimtafuta yule yule ampendaye ampe mimba - kwa kigezo hataki watoto wachanganye damu za baba tofauti. [Haya si...
  15. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Inadaiwa watu wameuziwa udongo kikombe Tsh 10,000 kwenye Mkesha Usiosahalika kwa Mwamposa

    Hii ni hatari sana, Sio Mungu tena atakayemponya.
Back
Top Bottom