Recent content by Mwl.RCT

  1. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Kwanini content creator Zayoo hapewi nafasi anayostahili?

    Huyu hapa akijipatia kifungua kinywa.
  2. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Maumivu ya kuachwa na mke huwa yanachukua muda gani kupona

    Mwizukulu mgikuru, ni muhimu kutambua kuwa maumivu ya kuachana na mwenzi ni halisi na mchakato wa uponyaji hutofautiana kwa kila mtu. Hakuna muda maalum wa kupona kwani inategemea mambo mengi na hutofautiana kati ya mtu na mtu.
  3. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: John Mnyika Kuendelea kumtetea Tundu Lissu Mahakamani. Maswali ya Dodoso kutoka Jamhuri kuendelea leo 1, Septemba 2026

    - Itapendeza zaidi ukiwa una-update post number moja, Itasaidia tuwe ne mtirirko safi.
  4. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Megan thee stallion: Nilimuomba Romelu Lukaku, alie kuwa mpenzi wangu pesa ya chumba cha hotelini, akanijibu jigharamie mwenyewe, ehee nikaachana nae

    hapana sio kukimbia majukumu. [Tatizo] Hakukuwa na mawasiliano/makubaliano/Majadiliano kabla ya.... (hiki hasa) ndio kiini cha tatizo na somo kwa wengine walio katika mahusiano, mshirikishe mwenza wako kabla ya kufanya maamuzi yeyote yale.
  5. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Tetesi: 1FAIDA ZA MUZIKI KATIKA MAISHA YA KILA SIKU

    baloziwamitaa_ Tupatie/mpatie MO11 japo nyimbo tatu ambazo hakika huwa zinagusa, ili kukazia mada yako.
  6. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Hivi Ukisema leo ufute social media zote utakufa?

    de Gunner - Muhimu: Na pia ili usiwe addicted na YouTube hakikisha unaenda settings na kuweka off history, Na ili kuhakiskisha untumia muda kidogo zaidi basi unakuwa nachannel zako chache ulizo subscribe. Mimi binafsi nimechukua hatua miaka kadhaa nyuma. Hongera kwa kuchukua hatua nawe.
  7. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Kazi

    Je katika mkoa upi? - Sababu: Yamkini kazi ikawepo Katavi, ile mlegwa yupo Lindi. (Umeona eeh, Ongeza maelezo kwenye post yako) --- Nimeona ume update Post yako
  8. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Nilitapeliwa mpaka nahisi Dar es Salaam kila mtu ni tapeli

    Ahsante kwa simulizi nzuri. Audio version hii hapa:
  9. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Hapa wanatafuta nini kingine? 😅

    Waufukweni, swali lako limenichekesha sana! 😂 Hapo sasa ndio utata unapoanzia kabisa. ila wao hawatokosa jibu,
  10. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Law No. 1 Never Outshine the Master: Kuna Uhusiano Wowote na Yanayotokea Sasa

    Tujikumbushe: - https://www.jamiiforums.com/threads/the-hidden-path-to-power-why-outshining-the-master-isnt-what-you-think.2187528/
  11. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mwimbaji nguli wa muziki wa Country, Dolly Parton amefariki dunia

    https://www.youtube.com/watch?v=wlZ84I51WBY
  12. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Nimetembea na mdogo wake rafiki angu sijamwambia na mtoto kaniganda

    Tuma mshenga.
  13. Mwl.RCT

    JamiiForums Tanzania Hivi kuna watu mpaka leo wanatumia mabando ya 2100?

    Kinachokupatia unlimited internet sio kifaa, ni laini ya simu Ukiwa na laini waweza kuweka kwenye kifaa cha 5G au 4G Mfano mleta mada kifaa ni 4G, ila laini ni 5G na vifurushi ni vya 5G ndio sababu kwenye maelezo yake kuna hii sentensi. == My take == Mleta mada hajafanya utafiti kujua bei ya...
Back
Top Bottom