Good old days

Good old days

Usipanie sana. Jiwekee malengo ya angalau mwaka mmoja. Kuna maisha baada ya kukonda, unapaswa ujijengee tabia/mifumo ya maisha itakayokufanya usinenepe tena. Tabia zinajengwa taratibu.

Chamsingi kuliko vyote ni lishe. Lishe ya kitanzania ni mbovu mno. Hapa kuna mengi sana ya kuzungumzia naona ni bora ukamuone mtaalamu wa lishe ili upate elimu ya kina.

Hakuna kabisa haja ya kuanza na mazoezi makali. Ukitembea hata 2km tu kwa siku utapata matokeo yatakayokujengea motisha.
 
Ilaa

Nimekaa nikakumbuka zamani kidogo,. Kipindi ambacho hata ule kitu gani ( haijalishi ni wanga au protini ) Kilo zangu hazijawahi kuvuka 50,. Yaani zinacheza kwenye 48kg zikizidi sana 52kg🤗🤗

Sikuizi napambana walau nipungue nifike Tu 70kg (ndio imekuwa my dream weight 🥺🥺).. Yaani nacheza kwenye 86, 87 nikizubaa kidogo Tu 90 hii Hapa 😩😩

Kuna kipindi nilijipangia ratiba nzuri Tu nikawa nafanya mazoezi kila siku, baadhi ya vyakula nikaacha na fasting siku2 kila wiki,. Ila ukipima unakuta ndio Kwanza umeongezeka kila Mbili au tatu badala ya kupungua... I gave up

Kuna nguo zangu nilikua navaa zamani saizi naziangalia Tu nabaki kutikisa kichwa kwa huzuni,.

Watu sasa wakianza kukwambia "umenenepaaaa" hata kujipost nowadays naogopa ikibidi sana napost pictures za zamani kwasabu watu lazima wanotice and I can't take it as a compliment 😭😭

🙌🙌🙌
Upoo,kwanza zamani ulikuwa mdogo unatembea,unacheza na wenzio, chakula cha kupangiwa na wazazi huna option, Sasa huchezi na hayo mazoezi mpaka uamue,kula unajipangia Mwenyewe! Hapo ndio shida ilipo.
 
Mimi na kilo zangu 60 vipi niongeze au nibaki nazo hizihizi
1786719856635.png
 
Una urefu gani my wangu?

Sijui sana mambo ya diet ila kula chochote upendacho ila kwa portion ndogo.

Kilo nyingi sana hizo luv.
Sio nzuri kwa afya.
Epuka madawa ya kupunguza uzito siyaamini kama ni salama.
Usikate utumbo.
Cheza na diet tu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom