Recent content by mwl. mziray

  1. mwl. mziray

    Upi Ukweli kuhusu Uwekezaji wa FIC?

    Ndugu zangu, kwa siku za karibuni kumekua na watu mbalimbali katika taasisi za Umma na binafsi wakijihusisha na Uwekezaji katika kampuni ijulikanayo kama FIC ambapo wanaweka mitaji na mitaji hiyo inakua kila siku. Je Uwekezaji huu ni halali? Usalama wa fedha za Wananchi upo? Hii ni sehemu ya...
  2. mwl. mziray

    Wanaume na yaliyoko chini ya kapeti

    Ngoja wadada waje kutoa ya moyoni.
  3. mwl. mziray

    Ugwadu! Kiboko ya mchawi

    Kama vipi tukamulie kwny maji ya kuogea kabisa.
  4. mwl. mziray

    Mume wangu hajishughulishi na familia, namfanyia kila kitu, nimechoka

    Ulitumia vigezo gani kumkubali akuoe? Na wewe vunga usipike hata msosi, akizingua mwambie umepeleka pesa zote kanisani. Aone utamu wake.
  5. mwl. mziray

    Kwa wanaume tu: Kama una swali lolote kuhusu mapenzi uliza

    Ntapenda zaid ukinioa wewe kijana mrembo maana una element za kuoa wanaume. Alafu nitakuonesha kazi vizuri.
  6. mwl. mziray

    Ukitaka ku-enjoy maisha ya ndoa oa single mother

    Hopo ndipo hapavumiliki. Kuna jibaba lilimzalisha bint m1, lilipogundua nna mahusiano nae likavimba kwelikweli halikuwa lina familia yake. Ilibidi nilitumbue penzi baada ya kuona wana mawasiliano.
  7. mwl. mziray

    Ukitaka ku-enjoy maisha ya ndoa oa single mother

    Kati yao wapo weny mapenz ya dhati ma wengine mguu m1 ndani mwingine nje. Hapo ni kweli akili ya ziada inahitajika kubaini mwenendo wa chombo.
  8. mwl. mziray

    Wakosoaji wa Rais Magufuli

    Majizi yalikuwa yanaiba ila sote tulikuwa tunashiba. Saivi majizi hayapo ila njaa inatutawala
  9. mwl. mziray

    Mbadala wa CHULA

    Hilo rinda/ua baba.
  10. mwl. mziray

    Nimeamua nithubutu ingawa nina mtaji pungufu ya laki saba. Nawe waweza jaribu mahali unapoishi

    Hongera kwa kuthubutu. Wapo walojaribu wakadhulumiwa na waliopo kijijini.
  11. mwl. mziray

    Leo nimekutana tena na classmate na jirani yetu nyumbani nilikozaliwa, ni muuza mgahawa Dar!

    Aliyachezea maisha, acha sasa maisha yamchezee. Jitahidi kupangilia vizuri kazi yako ili ilete mantiki.
  12. mwl. mziray

    Mapenz buana

    Hizi tabia za hawa wanamuziki ndo maana hatununui kazi zao zaidi ya kuzipakua tu mtandaoni maana wakipata pesa wanazichezea
  13. mwl. mziray

    Anayejua Rais Magufuli anatupeleka wapi atuambie, naona kama tumepotea

    Kazi tu bila mipango ni sawa na 1-1 =
Back
Top Bottom