Kifimbo1958
JF-Expert Member
- Oct 24, 2015
- 821
- 343
Nyie mlioanzisha uzi huu mna maana gani
Sasa mamishuu kumbe wewe una uzoefu na ullisha umizwa kwa hiyo utanifaa mimi ambae sijui mambo ya single mumies."Kaa mbali na Simu Yake unaweza kuta unajua MTU au unajiua...
"" usipende kuingilia mambo UA mtoto wake kama vipi mengine potezea namaanisha usimfuate fuate mtoto atakudisapoint tu na hutaweza kuvumilia kama ambavyo ingekuwa mwanao..
"" ndugu wa mazazi aliyezaa naye ni ndugu yako kiaina kuwa Tayar..
"" jiandae kisaikolojia ugomvi kuhusu mtoto unaweza tokea any time
Nadhani Diamond aliliweza hili na sasa anakula mzigo toka UgandaAlaf you have to show love yakutosha kwa mtoto wake, vizawadi kwa wingi, outing za kutosha....
Sasa si mpaka ujue km mzazi mwezie hajafa kwa ukimwi kuwa makini Mkuuinahtaj akili, busara na uvumiliv, ila ukimpata ambae mzaz mwenzio kafark n bora zaid
Hopo ndipo hapavumiliki.baba wa mtoto akianza kumpigia simu na mialiko ya hapa na pale unabid uvumilie tu. Jifanye km huyaon huku unalilia tumbon