Uza Mayai na vifaranga mpaka utakapokuwa sawa kiuchumi ndio uendelee kutotolesha na kufuga mwenyewe haraka ya nini usiuze gari mjini kuwa na gari binafsi ni muhimu sana
Haya mambo ya utawala bora cjui utawala wa sheria ndio yameifikisha nchi hapa. Now hakuna kucheka na kima awatumbue tu ila asiishie tu kutumbua vile vile ayakamue hayo majipu mpaka kiini kitoke yani amtumbue huyo kabwe na awakamue na wote walioshirikiana na kabwe kula Pesa za serikali
Mmh kupima c wanapimwa wanafunzi tu hao makamanda wanaotoa mafunzo kwani nao wanapimwa ikitokea umepata Demu kumbe mnashea kugegeda na kamanda wako c majanga hayo. Kinga muhimu jichanganye uikanyage miwaya. Gambe halina stress km hizo za magonjwa
Km gambe ruksa hata mi ningeenda ila tatizo umri...
Mkuu Matola hapo umetudanga eti mbatia kaanza ubunge kabla ya magufuli wakati wote wameingia bungeni kwa Mara ya kwanza mwaka 1995 magufuli kafanya kazi ya ubunge kwa miaka 20 mfululizo
Mkuu Matola hapo umetudanga eti mbatia kaanza ubunge kabla ya magufuli wakati wote wameingia bungeni kwa Mara ya kwanza mwaka 1995 magufuli kafanya kazi ya ubunge kwa miaka 20 mfululizo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.