Kwa wale mlio interested kufanya kazi kwenye mabenki na taasisi za fedha hii ni list ya hizo banks and financials institutions. Kazi kuna zile zinazotangazwa na zisizotangazwa, so unaweza kuingia kwenye website ya benki husika na kucheki kama wanatumia utaratibu wa kuapply online au unaweza...
mkuu we ndo umeongea.yuko wapi dk ulimboka mpaka leo kimyaaa.chezea serikali wewe,huyu jamaa nae ndo basi tena hatutamsikia tena akisema chochote.nachukia sana wanaharakati wa namna hii.haya ndo keshakutana na serikali tena tuone kama harakati ataziendeleza
daah yani apo chadema mmefurahiii.maana kama ingerushwa ile video jamaa anafunga kufuli ofisi za chadema kwa kushindwa kulipa kodi najua mngetokwa na mapovu mdomoni kwa kuongea kashfa hapa na matusi.chadema bwana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.