savio mlowe
Member
- Apr 18, 2013
- 13
- 2
Jamani wanajamii hawa jama wa utumishi wameweka file la tangazo la kazi leo 11 juni lakini halifunguki. zaidi angalia mwenyewe kwenye website yao.:nod::kev:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ndiyo hii mkuu
Hawa washenzi tu.Kazi zenyewe wanatoa kwa kujuana.Washenz kabisa hawa
punguza hasira ndg hizo habari una proof nazo mbona unataka kukatisha tamaa watu??kama una ushahidi weka jamvini
punguza hasira ndg hizo habari una proof nazo mbona unataka kukatisha tamaa watu??kama una ushahidi weka jamvini
Acha hizo wewe kama unafanya kazi huko sema, lakini ukweli ndiyo huo bora ajira zingebaki kule zilikokuwa kuliko hawa Utumishi washenzi kabisa na watalaaniwa maana wanawatabisha watu wanachoma manauli kutokea huko Kibondo na Namanyere eti wanakuja kufanya interview ambazi tayari nafasi zina watu
punguza hasira ndg hizo habari una proof nazo mbona unataka kukatisha tamaa watu??kama una ushahidi weka jamvini