Soso J
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 1,976
- 1,224
Olympus has fallen ni zaid ya White houseDown,wahusika tuu ndio gap kubwa la kwanza,Jamie Foxx ktk WHD ameharibu kuigiza kama Pres,tena wa nchikubwa,maaana ni dhairi kbs Rais awez fanya baadhi ya vitendo kama....U cant touch my sneaker,pale iliharibu kabisa!kwa wanaujuo issue za law enforcement mechanism ni sahihi kwa Olympus has fallen na sio kwa WHD,kwa utalaamu wangu wa mambo,white house kuwa attacked ilileta uhalisia ktk Olympus kuliko ktk WhD