amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,143
- 31,298
alafu nikifuzu nakufuata tuka jaribu kwako kama niko fresh.?
ha ha kweli unapenda ligi wanaume hawaongei
sana bana!!!
Mimi huniwezi hii chakla ya baba zako kupakwa shombo sijazoea
alafu nikifuzu nakufuata tuka jaribu kwako kama niko fresh.?
We nae si unyamaze??ha ha kweli unapenda ligi wanaume hawaongei
sana bana!!!
Mimi huniwezi hii chakla ya baba zako kupakwa shombo sijazoea
sinyamaziWe nae si unyamaze??
Unatafuta attention ya lazima???
Hainihusu hii.. Pamoja na uchovu wote wa pilika za kutwa mzima napiga 5 per night,nmekulia kwa babu mimi,asubuhi Nguna la mtama,mitindi kibao,magimbi mwanzo mwisho jioni mazoezi-kazi kwenu ma blazaman wa chips ,mayai na ma bites mnaolala hadi saa tano asubuhi ndo mnaamka
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Hainihusu hii.. Pamoja na uchovu wote wa pilika za kutwa mzima napiga 5 night,nmekulia kwa babu mimi,asubuhi Nguna la mtama,mitindi kibao,magimbi mwanzo mwisho jioni mazoezi-kazi kwenu ma blazaman wa chips ,mayai na ma bites mnaolala hadi saa tano asubuhi ndo mnaamka
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mjitahidi mpate jibu ili mrekebishe hili swala inaniuma maana nilimuacha mpezi wangu nikiwa bado nampenda yani akisimamisha inalegea mwe! Hakuna raha ya mapenzi tena. Ah! Samahani kumbe me tu.
kuchungulia muhimu afu mwanamke umbea sunna
Tatizo na nyie hamna huruma, unakuta mtu kachoka na shghuli za kutwa halafu ukirudi home unataka nikupe vitatu kila siku, ndio maana wengine huwa tunachelewa kurudi home tunapitia nyumba ndogo wasiko lalamika, wao ukipiga chap chap wala hawajali ndio kwaanza wanakurembulia macho.eti Ph-25 kwa nini unalaumiwa shughuli huwezi?
Hhahahaah, nadhani namfahamu huyo jamaa..Mjitahidi mpate jibu ili mrekebishe hili swala inaniuma maana nilimuacha mpezi wangu nikiwa bado nampenda yani akisimamisha inalegea mwe! Hakuna raha ya mapenzi tena. Ah! Samahani kumbe me tu.
kuchungulia muhimu afu mwanamke umbea sunna
nikupm unifanye nyumba ndogo yako au?Tatizo na nyie hamna huruma, unakuta mtu kachoka na shghuli za kutwa halafu ukirudi home unataka nikupe vitatu kila siku, ndio maana wengine huwa tunachelewa kurudi home tunapitia nyumba ndogo wasiko lalamika, wao ukipiga chap chap wala hawajali ndio kwaanza wanakurembulia macho.