Mleta mada unanishangaza kidogo,unasema watu wasishinde bar ila washinde shambani kwakuwa unajua tunatakiwa kuongeza mali kwa kazi halali ili tuwe matajiri ILA hapohapo unajionesha kuwa wewe ni fukara au masikini. Nadhani ni busara ungeanza wewe kushinda shambani ili uwe tajiri alafu urudi...
Tatizo tunaowapa usemaji wa timu ni watu ambao hawana weredi na kazi hyo matokeo yake wanaropoka tu hovyohvyo,timu zetu ziangalie watu wa kuwapa nafasi hiyo. Haina tofauti na ulimi unavyoweza kuuponza kichwa
Mimi nilidhani mheshimiwa raisi anaongoza listi ya watu wanaotatua matatizo ya wananchi kumbe yeye anatatua matatizo ya mbunge,maana matatizo ya wananchi na yeye yananuhusu na anatakiwa ayafahamu maana ana serikali iliyopo kila sehemu kwahyo taarifa anayo. Kusema eti mbunge angekuwepo na...
Nnachoshindwa kuelewa kama waliweza kumtaja kuwa anahusika na madawa ya kulevya wanashindwa nn kumshtaki kwa kusema uongo na kumsingizia mkuu wa mkoa. Kwani ugumu upo wap had wanashindwa. Waanze kwanza kumshtaki kwa kusema uongo na kumsingizia mtu alafu na ikithibitika ni kweli kuwa anasingizia...
Nadhani busara ni kuifungia tbc yenyewe maana kuwasimamisha wafanyakaz kadhaa bado sio dawa,tabu ni kufanya kazi kwa kutaka kuwafurahisha watu fulani na sio kufanya kazi kwa kuzingatia taratibu za ufanyaji kazi. Bado kuripoti mambo aliyoandika LE MBEBEZ Instagram kwenye taarifa ya habari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.