Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 53,160
- 72,200
sawaTabia njem unakuja kkuinyoksha wewe. Hata kama ana tabia mbovu but mrembo, we oa tu. Akija kuleta uovu nfo unaudhihirisha uanaume wako kwa kunyoosha tabia yake.
sawaTabia njem unakuja kkuinyoksha wewe. Hata kama ana tabia mbovu but mrembo, we oa tu. Akija kuleta uovu nfo unaudhihirisha uanaume wako kwa kunyoosha tabia yake.





Umesema vizuri mkuu,amani na furaha ndani ya nyumba ndio kila kitu,strees free relationship..Uzuri wa mwanamke kwangu unaanza na tabia njema..mengine yanfuatia
Yap yapUmesema vizuri mkuu,amani na furaha ndani ya nyumba ndio kila kitu,strees free relationship..
unafikiri ni kazi nyepesi kama unavyoongea hapa mzeee????Tabia njem unakuja kkuinyoksha wewe. Hata kama ana tabia mbovu but mrembo, we oa tu. Akija kuleta uovu nfo unaudhihirisha uanaume wako kwa kunyoosha tabia yake.
Uzuri ni wa asili na urembo ni wa dukani.Nadhani tuanze kwa kuelewa utofauti wa uzuri na urembo
Hii id imekuwa hacked leokishundu, chura, wowowo
Yes mkuu! Hilo ndo la maanaSura na umbo tabia tutarekebishana..
Wewe hujawahi kumwona mwanamke ukasema huyu kweli mzuri sana?Unajuwa kuna mwanamke na kuna mke
Ila km mwanamke tu bhasi ni yule atakaye nivutia (kimaumbo) tu
Chura kwanza vingine tutaangaliaWanaume wengi siku hizi tupo very selective ktk wanawake
Yaani kila mwanamume anataka mwanamke mrembo wa kumvutia
Ila ktk hili, kila mtu ana definition yake ya uzuri huo.
Mwanamke anaeza kuwa mrembo kwako na asiwe mrembo kwa mwezio.
Ipi definition yako ya uzuri wa mwanamke? Unaangalia vigezo vipi hadi useme huyu mwanamke ni mzuri?
Kwangu mimi, mwanamke anayejambia mbali ndo mzuri /mrembo. Yaani anajamba Masaki kinanukia gongo la mboto. Wale wanawake walio jazia jazia wale
![]()
![]()
![]()
![]()
Yes! Cha kwanza kabisa ni mwonekano aiseeMuonekano wake baada ya hapo ndio naanza kufatilia tabia.