inamaana mbunge wa kinondoni, kubenea na waitara hukuwaonaMbona hiyo fainali ya Ndondo wameigeuza kama shughuli ya CCM?
Nawaona kwenye jukwaa kuu akina Dr Tulia Jackson, Daudi Bashite, Ally Hapi na Meya Ben Sitta, wote hao wakiwa ni viongozi kwa upande wa CCM pekee!
Hao CCM wanavyopenda ubaguzi, inawezekana kabisa hiyo shughuli wamefanya kuihijack....
