Msisusie kupiga kura. Hata mimi nilishawaza hicho kitu kususa lkn nikaona ni kweli Rais mpinzani ni ndoto, nikaona ni bora nichague Mbunge tu na Diwani hiyo 2020 lkn kura ya Rais kwangu mimi mpk sasa imeshaharibika. Tukichagua wabunge wenginwa upinzani things gonna move more easier kuliko hii...
Mimi sidhani km mpo sahihi ninyi mnaotetea kwamba warembo wanakuwa GPA kubwa kwa sbb sio rahisi walimu wa kozi zote kumbeba mwanafunzi huyohuyo kila semester. Haiingii akilini, nakubali upendeleo upo na pia ukandamizaji upo lkn hauwezi kuwa wa kila somo na kila semester. Tatizo ni negative...
Hawa mademu nao wapunguze kujirahisi kwa hivi vianaume suruali eti kwa sababu ni celebrities. Shukuru Mungu kupata mtoto ila mara nyingine anaweza kuambatana na magonjwa make hiyo ni justification kwamba uliuza mechi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.