Twende mbele turudi nyuma, huyu mwanamke ni mbaya aisee, alafu sijui wanatumia vigezo gani kuchagua mshindi.
Naskia ana degree lakini umri wake ni 18 (elimu ya bara )
#wacha vituko viendelee [emoji28] [emoji28]
Shida yA wabongo mnataka mabadiliko lakini hampo tayari kwa mabadiliko, kila Kitu kipya nikulalamika tu, kupangisha nyumba ni biashara kama biashara nyingine tena yenye umuhimu mkubwa ,..Sasa kwanini serikali isianze kukusanya kodi? Cha msingi niku deal na madalali kwakuweka bei elekezi kutokana...
Wakristo wanakesha wanapigia watu kelele , bar za mtaani zinakesha nA mziki zinapigia watu kelele, waislam tunaamshana Usiku kuswali tuna amsha na wasio usika ... Haya mambo yote ya angaliwe kwa upana lasiivyo italeta hali yA uonezi
Wewe jamaa unamuita failure Mtu usie mjua, huyo Dr anavitabu vingi Na thesis za kilimo ...piA ana mashamba makubwa sana Na shughuli zingine binafsi....enhe Wewe Ndugu Yangu una nini ? Acha KUA judgemtal
Daaa Mtu wangu kwako swala la Uchumi lilikupita kushoto kabisaaaa ....kwaiyo kuchapa Fedha ndio suluhisho la kupata pesa? Kama ndio ivyo nchi gani ingekua maskin! Nadhani unahitaji elimu Zaidi yA pesa Na Uchumi
Ushauri wa bure : USIMPELEKE NDUGU YAKO AU MWANAO UDOM. Hata maofisini hua hatuchukui watu wa huko tena , elimu yao ni mbovu , wanatoa mambumbumbu yani Mtu anakuja na GPA nzuri ila kichwani hamna kitu... Kama mtoto amepata Alama nzuri bora uangalie vyuo vingine
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.