Recent content by mwananchi wa pemba

  1. mwananchi wa pemba

    Miss Tanzania: Diana Edward Lukumai ameshinda taji la Miss Tanzania 2016

    Twende mbele turudi nyuma, huyu mwanamke ni mbaya aisee, alafu sijui wanatumia vigezo gani kuchagua mshindi. Naskia ana degree lakini umri wake ni 18 (elimu ya bara ) #wacha vituko viendelee [emoji28] [emoji28]
  2. mwananchi wa pemba

    Una Uwezo wa Kuzungumza Lugha Ngapi?

    Kiswahili , kifaransa , kiarabu , english
  3. mwananchi wa pemba

    Mpango wa kuwatoza kodi wenye nyumba za kupangisha unahitaji tahadhari na umakini mkubwa

    Kua na vyanzo vingi ndio haina maana kuacha vyanzo vingine , kama ni biashara inabidi ilipiwe kodi ...
  4. mwananchi wa pemba

    Mpango wa kuwatoza kodi wenye nyumba za kupangisha unahitaji tahadhari na umakini mkubwa

    Shida yA wabongo mnataka mabadiliko lakini hampo tayari kwa mabadiliko, kila Kitu kipya nikulalamika tu, kupangisha nyumba ni biashara kama biashara nyingine tena yenye umuhimu mkubwa ,..Sasa kwanini serikali isianze kukusanya kodi? Cha msingi niku deal na madalali kwakuweka bei elekezi kutokana...
  5. mwananchi wa pemba

    Makanisa ya kilokoke kudhibitiwa

    Wakristo wanakesha wanapigia watu kelele , bar za mtaani zinakesha nA mziki zinapigia watu kelele, waislam tunaamshana Usiku kuswali tuna amsha na wasio usika ... Haya mambo yote ya angaliwe kwa upana lasiivyo italeta hali yA uonezi
  6. mwananchi wa pemba

    Ni sahihi kumpeleka mtoto mdogo (3-12yrs) shule ya bweni?

    Unatengeneza MASHOGA tu ...watoto ndio wana haribikia huko
  7. mwananchi wa pemba

    Dr. Rutengwe afunguka, asema acha watanzania wazungumze (Audio)

    Wewe jamaa unamuita failure Mtu usie mjua, huyo Dr anavitabu vingi Na thesis za kilimo ...piA ana mashamba makubwa sana Na shughuli zingine binafsi....enhe Wewe Ndugu Yangu una nini ? Acha KUA judgemtal
  8. mwananchi wa pemba

    Tamko la ACT-Wazalendo juu ya kusitishwa misaada ya MCC

    Daaa Mtu wangu kwako swala la Uchumi lilikupita kushoto kabisaaaa ....kwaiyo kuchapa Fedha ndio suluhisho la kupata pesa? Kama ndio ivyo nchi gani ingekua maskin! Nadhani unahitaji elimu Zaidi yA pesa Na Uchumi
  9. mwananchi wa pemba

    Samia Suluhu naye ni wa HAPA KAZI TU?

    Kwani hamjui kazi yA makamu wa rais ? ...Ni kukata utepe kufungua miradi mbalimbali kwA Jina lingine NI cheo cha mkasi wala hakihitaji akili nyingi
  10. mwananchi wa pemba

    Nina wasiwasi na elimu inayotolewa Kampala International University tawi la Dar

    Ushauri wa bure : USIMPELEKE NDUGU YAKO AU MWANAO UDOM. Hata maofisini hua hatuchukui watu wa huko tena , elimu yao ni mbovu , wanatoa mambumbumbu yani Mtu anakuja na GPA nzuri ila kichwani hamna kitu... Kama mtoto amepata Alama nzuri bora uangalie vyuo vingine
  11. mwananchi wa pemba

    Atakayeigusa Saudia, tutambomoa na kumfuta duniani

    Anae toa kauli hana ata cheo cha ukuu wa kaya
Back
Top Bottom