Recent content by MwanaMfalme

  1. M

    Chuo Kikuu bora TZ ni kipi kwa kusomea Uhasibu au Biashara? - ni UDSM, Mzumbe au IFM?

    Ha ha haaa pole ndugu mwenye macho haambiwi Tazama,nadhani umaarufu,ukongwe ndio umechangia nyie kubaguliwa hapa,
  2. M

    Mgombea binafsi Tanzania: Tatizo ni nini?

    Wadau mimi naona mgombea binafsi anaweza kufaa kuliko hivi vyama vya siasa ambapo viongozi wengi wamejawa na unafiki hawawezi kusimamia haki za Watanzania na kuzilinda raslimali za taifa,siamini kama kuna chama chenye watu wenye nia ya kweli na ya kuikomboa Tanzania na ujinga na umaskini na maradhi.
  3. M

    Babyface..huyooooooo

    Duh,mjusi mkubwa!
  4. M

    Marekani yatoa onyo kali kwa msafara wa Rais Obama Dar Es Salaam

    Ulinz ni sawa lakini ukianika ratiba nzima unatoa mwanya wa maadui zako kujiandaa na kutafuta pale udhaifu wako utakapoonekana,smtym magaidi wana mbinu ambazo wamefundishwa na wamarekani you see?
  5. M

    Marekani yatoa onyo kali kwa msafara wa Rais Obama Dar Es Salaam

    Yaani wamarekani wanathubutu kuanika Ratiba ya Raisi wao kwenye mtandao je wakiijua magaidi si itakuwa risk,
  6. M

    Mbunge "Sugu" apata ajali ya gari!

    mabom ya machozi yananunuliwa kwa kodi za wananchi,chadema ndo wanaathirika zaid na haya mabom
  7. M

    Polisi wamtaka Mbowe athibitishe Polisi walivyohusika katika mauwaji ya Arusha, la sivyo...

    Wanatumia nguvu nyingi kupambana na CDM badala ya kuzima kiu yetu kumjua mhusika aliyelipua bom,
  8. M

    Hali ni Tete, Mabomu Yameanza Kurushwa Tena Jijini Arusha

    Mimi naona kama snema vile duh.!
  9. M

    wanawake wa kipare

    Acha non-sense wewe,umefanya uchunguzi wapare ndo kabila lenye watu wafup zaid? Asilimia kubwa ya watanzania ni watu wafupi!
  10. M

    Live Updates: Press Conference CHADEMA Makao Makuu Leo tarehe 18/06/2013

    Ha ha haaa,au Rwekatare mpanga matukio anahusika hapa Duh!
  11. M

    Another Joke from Kikwete: Every student to have computer in five years time

    Mh ni kichekesho hapo mbona 5years to come hiyo technology itakuwa outdated? washindwe kuanza na maabara za computer wataweza hyo mifumo ya gharama,danganya toto hyo!
Back
Top Bottom