Wadau mimi naona mgombea binafsi anaweza kufaa kuliko hivi vyama vya siasa ambapo viongozi wengi wamejawa na unafiki hawawezi kusimamia haki za Watanzania na kuzilinda raslimali za taifa,siamini kama kuna chama chenye watu wenye nia ya kweli na ya kuikomboa Tanzania na ujinga na umaskini na maradhi.
Ulinz ni sawa lakini ukianika ratiba nzima unatoa mwanya wa maadui zako kujiandaa na kutafuta pale udhaifu wako utakapoonekana,smtym magaidi wana mbinu ambazo wamefundishwa na wamarekani you see?
Mh ni kichekesho hapo mbona 5years to come hiyo technology itakuwa outdated? washindwe kuanza na maabara za computer wataweza hyo mifumo ya gharama,danganya toto hyo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.