Recent content by mwanalukago

  1. M

    Diamond ni kutojua au umejiunga na dini hii mpya!?

    Hyo si nguo tu kama nguo nyngine
  2. M

    Nimkwepe vipi huyu mama mwenye nyumba jamani?

    Ndo ushanasa tena ila mkeo haumtendei haki kbsa itabid amulike mwizi
  3. M

    PJ na Hando wameanza vizuri E-Fm

    PJ na hando wako vzuri sana daily lazma niwaskilze
  4. M

    Simu yangu inagoma kufungua Play store naomba msaada

    Hapo issue ni network tu..kaa sehem ambayo utapata 3g or 4g itafunguka
  5. M

    Kwanini Rais na Serikali wanawahadaa wafanyakazi kuhusu punguzo la kodi?

    Sioni mabadiliko hapa..angeondoa madaraja hapo sawa
  6. M

    Vijana wanatapeliwa sana mitandaoni

    Yaaani nishida..hi tabia ipo sana tu ishawahi nikuta hii kitu ila nilimzngua mwenyew akasanda
  7. M

    Alipewa ujauzito akatelekezwa, huruma iliniponza nikamsitiri sasa ananilazimisha kuwa baba

    Wakati unampokea ukae nae alkwambia ana mimba ama ulihisi ana mimba ??
  8. M

    Naelekea kunasa naombeni ushauri

    Kuwa makini inawezekana ni trap. Usiharakishe mambo saana kisa mapenzi
Back
Top Bottom