Madhara gani? Nishawaona wa mama kama wa tatu walipata mtihani kama huo. Mtoto yuko safi na anakuwa vizuri. Tatizo labda kwenye kumnyonyesha.Subiri wataalamu waje.
Mkuu Malila naomba mrejesho please ulifanikiwa mtu wa kuungana nae? Nami naweza kuungana nawe? Ajira zetu hizi huwezi kutoka bila kujihusosha na kilimo.
Za leo wakuu. Nina tecno p5 iko slow ukifungua app wakati nina 8gb. Naomba maelezo ya utumiaji wa utorrent bila kuroot, mobogiene na GL to SD. Natanguliza shukran.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.