Recent content by mwanadamalu

  1. M

    Tujadili njia za kupata vitu bure

    Jamani mie ni mpenzi sana wa movie za wa philipino . Mfano The promise na nyingine nyingi . Je tawezaje kuzipata au kudiwnload. Ni TV episode.
  2. M

    Naomba kufahamu kuhusu Diploma ya Clinical Officer, MUHAS

    Naomba kuuliza wakuu. Diploma hizi ili mwanafunzi achaguliwe anatakiwa apate matokeo yapi ya form four?
  3. M

    Pata tigo 5gb- mwezi kwa buku tano tuu

    GB peke yake au na muda wa maongezi?
  4. M

    Mwongozo wa ufugaji wa kisasa wa Mbuzi wa nyama na maziwa

    Chai day naomba mtufahamishe nasi wadau wapya tupate kuhudhulia
  5. M

    Msaada doctor

    Madhara gani? Nishawaona wa mama kama wa tatu walipata mtihani kama huo. Mtoto yuko safi na anakuwa vizuri. Tatizo labda kwenye kumnyonyesha.Subiri wataalamu waje.
  6. M

    Nahitaji Tissue Culture Banana

    Mkuu kwako naweza pata miche ya maize? MSPEASANT
  7. M

    Mbegu za Nyanya aina ya Anna F1

    Habari wakuu. Jamani wapi naweza pata mbegu ya figiri
  8. M

    Tunauza magari kwa bei nafuu sana

    Una noah old model sr40?
  9. M

    Balo za mtumba

    Mkuu je wauza pia balo za grade A hasa viatu vya watoto?
  10. M

    Nahitaji mkopo ili nipate mtaji wa kuanzisha kilimo

    Mkuu Malila naomba mrejesho please ulifanikiwa mtu wa kuungana nae? Nami naweza kuungana nawe? Ajira zetu hizi huwezi kutoka bila kujihusosha na kilimo.
  11. M

    Nahitaji mkopo, dhamana ni title deed ya kiwanja

    Mkuu kiwanja kipo mkuranga sehemu gani na kina ukubwa gani
  12. M

    Android mega thread; Maswali, Tips and Tricks, Kila kitu kuhusu android

    Za leo wakuu. Nina tecno p5 iko slow ukifungua app wakati nina 8gb. Naomba maelezo ya utumiaji wa utorrent bila kuroot, mobogiene na GL to SD. Natanguliza shukran.
  13. M

    MASHINE YA KUKANDIA UNGA KWA KIWANDANI BAKERY (Used)

    [COLOR=BLUE] Unazo ndogo za kutumia nyumbani[\COLOR]
  14. M

    Mwongozo wa ufugaji wa kisasa wa Mbuzi wa nyama na maziwa

    Mmepata wapi eneo? Mlianza lini? Je kile kikao chai (kufahamiana) bado kipo?
  15. M

    Jifunze njia rahisi ya ku-root simu

    Naomba unielekeze kudownload kwa kutumia computer. Maana simu ndio haiwaki. Tafadhali naomba uniwekee na link. Natanguliza shukran.
Back
Top Bottom