SangaweJr
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 2,990
- 2,669
Yaaah nikamaliza hatua zote ikajizima then ikawaka mwendo ukawa ni huo kuzima na kuwaka.Ulitumua framaroot???
Yaaah nikamaliza hatua zote ikajizima then ikawaka mwendo ukawa ni huo kuzima na kuwaka.Ulitumua framaroot???
Huu uzi sitausahau na kila nikiuona moyo unanipasuka vibaya niliuwa Huawei yangu G610 na ilikuwa ina mwez mmoja tu, baada ya kumaliza ku root simu ikawa ina ji restart tu.
Mafundi wa kuflash wakaizimisha jumla hadi leo ipo ndani tu.
Yaaah nikamaliza hatua zote ikajizima then ikawaka mwendo ukawa ni huo kuzima na kuwaka.
Mkuu hii link naipakua kwenye handset yangu au kwenye pc?kuroot device yako ya android kunakufanya wewe ufanye cmu yako kitu chochote ni kama vile kuchakachua modem za tgo zitumie line zote ukiroot cmu unaweza kuingiza application kama avast antitheft ambayo inasaidia kumkamata mwiz wa cmu ukiibiwd pia unaweza kuwezesha hotspot na usb tether kwenye cmu ambazo hazina hizo features pia waweza kufuta apps na game kubwa ambazo umezikuta cmu ikiwa mpya na hazifutik kiufupi ukiroot cmu unaweza kufanya ya ziada mengi
Mkuu hii link naipakua kwenye handset yangu au kwenye pc?
Mkuu nimefanikiwa kuinstore super user kwenye s2kupitia aragon ,what next ?kifupi sijui hasa kufanyia tweaks S2 yangu ,nini niondoe?kungiza and how? je hii inawezesha os upgrading from JB to let say kitkat?kuroot device yako ya android kunakufanya wewe ufanye cmu yako kitu chochote ni kama vile kuchakachua modem za tgo zitumie line zote ukiroot cmu unaweza kuingiza application kama avast antitheft ambayo inasaidia kumkamata mwiz wa cmu ukiibiwd pia unaweza kuwezesha hotspot na usb tether kwenye cmu ambazo hazina hizo features pia waweza kufuta apps na game kubwa ambazo umezikuta cmu ikiwa mpya na hazifutik kiufupi ukiroot cmu unaweza kufanya ya ziada mengi
Frama root,tayari nimeweza kuinstall superuser kimbembe sijui kuitumiaLink gan ya towelroot au
Frama root,tayari nimeweza kuinstall superuser kimbembe sijui kuitumia
Try different stock rom mfano zenye multi csc zipo poa download odin yenye pit file kisha na rom ambayo ni multi csc
Naomba unielekeze kudownload kwa kutumia computer. Maana simu ndio haiwaki. Tafadhali naomba uniwekee na link. Natanguliza shukran.
Naomba unielekeze kudownload kwa kutumia computer. Maana simu ndio haiwaki. Tafadhali naomba uniwekee na link. Natanguliza shukran.
Naomba unielekeze kudownload kwa kutumia computer. Maana simu ndio haiwaki. Tafadhali naomba uniwekee na link. Natanguliza shukran.
Naomba unielekeze kudownload kwa kutumia computer. Maana simu ndio haiwaki. Tafadhali naomba uniwekee na link. Natanguliza shukran.
Wazee natama Ku update my Adroid version ...nafanyaje?
Tecno N7