Mr. madevu
JF-Expert Member
- Mar 2, 2013
- 432
- 75
Habari wakuu, nina galaxy s2 ya t-mobile, kila ninapo iwasha hotspot ile niweze kushare internet kwenye pc inagoma kabisa. Naomba msaada wenu wakuu
Habari wakuu, nina galaxy s2 ya t-mobile, kila ninapo iwasha hotspot ile niweze kushare internet kwenye pc inagoma kabisa. Naomba msaada wenu wakuu
Kupitia uzi huu tujadiliane kuhusu operating system ya android. Jinsi ya kuboresha simu zetu.za android, tuulizane maswali wenye majibu walete. Tuambiane app nzuri na mambo kedekede kuhusu android
mi my dream app android ni adobe photoshop nashangaa why watu hawaitaji
Then nyengine ni freemoneyfactory na appredeem hizi unadownload apps then kila apps average unapata 0.25 usd kwa app 4 unapata dola 1 then unazitoa kama amazon gift card au kwa paypal ya mipango.
Tapatalk 2-ukiwa na hii huhitaji kudownload jamiiforums app,
Mx video player,
Apollo music player,
Dolphin browser beta-ni nzuri kushinda Firefox cuz unaweza play games online,
Root explorer and Firefox browser..
Sent from my SGH-I897 using Tapatalk 2
Hii tubemate naitafuta sana, sikumbuki version ila ilikuwa na MB kama 10 na zaidi. Kwenye Mobogenie, playstore na aptoide haipo zipo tubemate fake pia google nimeingia sijaipata. Maaada tafadhari.
mi nlikua naulizaa kunaa madhara yeyotee katika Sim za android pind unapoinstall baadhi ya themes kwa minajil y kurembeshaa
guys nimesikia next android version ni android L, sasa kama trend yao ni kuhusu msosi, hii L inasimama badala ya chakula gani? sijapata muda wa kupita pita mtandaoni ila kwa ambao mnajua itakuwa na vitu gani tuanze kupeana taarifa
chief-mkwawa, nurbert, NingaR na wengineo
kumbe GO SMS na MX video player zinauzwa siku hizi.....!? wameniambia hivyo google store
wakuu naombeni nijuzeni na hili, hivi ni kweli android phones haziitaji anti-virusi apps?! maana kuna ubishi mkubwa hapa
Wakuu habar zenu.. . Samahan sana nilikuwa na shida kidogo natumia tecno h6 nataka kuinstall whatsapp plus lakin inagoma nifanyejeee!! Msaada plz
Android 4.4.2 (KitKat) imeburn all other form of whatsapp so hata ukiroot hamna kitakacho saidia