mwanadamalu
Member
- Mar 14, 2013
- 30
- 0
Habari wakuu. Jamani wapi naweza pata mbegu ya figiri
Mkuu nimekutumia no yake hawa jamaa wana mbegu nzuri sana za hybrid sasa hivi wana mbegu mpya ya kitunguu inaitwa Jambar F1 inatoa gunia 230 kwa eka mimi ntaipanda next month na wana mbegu ya hoho inatoa tani 20 kwa eka hizi hybrid wenzetu kenya wameshaanza sana kuzilima
Hapo kwenye bold nafikiri watu tunakuwa na makadirio makubwa kupita kawaida. Mtu anawekeza anaishia kuvuna 40 Kwa ekari inaumiza sana. Magunia 230 Kwa ekari nafikiri siyo practical ni theories to za watu kuandika.
Ukizikosa hapo ni Pm nikupe namba ya jamaa wanakampuni ya kuuza mbegu wanazo hizo mbegu
gharama ya hii mbegu ikoje kwa hapo Arusha MkuuDaa mkuu kwa huku arusha ingekuwa raisi sana ila tu hiyo anna f1 naikubali sana itakupa utajiri ukiwa serious mkuu.big up sana
Mkuu sidhani kama ni busara kuweka hadharani namba za mtu bila idhini yake atakaye kuwa serious anahitaji ntakuwa na MP,Na wewe nimekupm zicheki
Habari mkuu.. nitashukuru pia kama nitazipata hizi namba za hawa jamaa maana anna ndio the best soo far.. tafadhali naomba contact zao niweze kupata hizi mbegu mkuu.. natanguliza shukranUkizikosa hapo ni Pm nikupe namba ya jamaa wanakampuni ya kuuza mbegu wanazo hizo mbegu