Recent content by mwamisha

  1. mwamisha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni kipi sahihi zaidi kati ya kumwambia mtu sikutaki au kumzungusha?

    Kawaida kukataliwa na baadae kukubaliwa kwani kuna mwanaume ambaye haijamtokea mbona kawaida sana sikutaki na hata mate kutemewa baadaye asipokuona masaa kidogo pressure inampanda
  2. mwamisha

    JamiiForums Tanzania Neymar hana tofauti na Pogba, utoto mwingi sana!!

    Ongea hivyo hivyo baada ya mechi ya marudiano
  3. mwamisha

    JamiiForums Tanzania Mwanasheria Mkuu, Dr. Adelardus Kilangi tupe ufafanuzi kuhusu mgogoro wa Tanzania na Malawi kuhusu Ziwa Nyasa

    Huyu jamaa c mtanzania yaani ni sawa mkeo anasema kwa majirani kua eneo la nyumba yao wameiba kwa jirani na haon aibu [emoji34][emoji41][emoji41]
  4. mwamisha

    JamiiForums Tanzania Jesca Kishoa kwa hili la kumkosoa Kafulila hadharani na kufuta picha zake kwenye mitandao yako ya kijamii, umekosea

    Hivi wewe na mkewe nani anamjua vizuri kafulila so chukua jembe ukalime usiingilie yy ni mtu mzima na msomi anajua analofanya huna sababu ya kukosoa kwa lolote
  5. mwamisha

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mbunge Jesca Kishoa umekiuka Mila Za Kinyiramba

    Kwa hiyo wanyiramba mila zenu zinakataza watu walio kwenye ndoa kuzungumza ukweli acha kulisha watu matango pori we kada fake wa ccm
  6. mwamisha

    JamiiForums Tanzania Masha, Mkumbo, Mwigamba, Albert Msando na Katambi Mwenyekiti BAVICHA, wajiunga CCM

    Pole Zitto kabwe
  7. mwamisha

    JamiiForums Tanzania Ni wimbo gani unaoutafuta sana bila mafanikio?

    Jamani sasa c mgoogle you tube kila kitu kipo
  8. mwamisha

    JamiiForums Tanzania Clouds Media Group tafadhali msirudie tena kosa hili siku nyingine

    Mm tangu Kabaye katoka pale nimekosa ushawishi jamaa hana jipya
  9. mwamisha

    JamiiForums Tanzania Msaada wa haraka mwanafunz anaesoma private dar Kenton, alpha, st marys, feza etc

    Sasa c uwafate au na shule hujui zilipo!!
  10. mwamisha

    JamiiForums Tanzania Hivi kwa nini Feza school haiongozi matokeo ya shule ya msingi?

    Hayana uzito kwa kua hayana cheti cha NECTA
  11. mwamisha

    JamiiForums Tanzania Siri imefichuka Wachezaji wa Yanga Nahodha Cannavaro na Kessy wapigana wakigombea posho

    Huyu atakuwa Manara tu[emoji3][emoji3]
  12. mwamisha

    JamiiForums Tanzania Waliojiuzulu udiwani Meru wabwagwa kura za maoni CCM, wamwangukia Magufuli

    [emoji3][emoji3][emoji3]
  13. mwamisha

    JamiiForums Tanzania Msaidizi/Secretary kwa shughuli za biashara ya stationery

    Ni mistake tu wakuu its going to change soon
  14. mwamisha

    JamiiForums Tanzania Msaidizi/Secretary kwa shughuli za biashara ya stationery

    Hapana ni kazi tu
Back
Top Bottom