A ARUSO Member Jul 12, 2017 95 94 Oct 20, 2017 #1 Imezoeleka feza schools kuongoza matokeo ya kidato cha 2,4,na sita kitaifa. Lakini kwa ngazi ya msingi hata haiongozagi wala kutoa wahitimu bora kitaifa,tatizo hasa ni nini?
Imezoeleka feza schools kuongoza matokeo ya kidato cha 2,4,na sita kitaifa. Lakini kwa ngazi ya msingi hata haiongozagi wala kutoa wahitimu bora kitaifa,tatizo hasa ni nini?
Joseverest JF-Expert Member Sep 25, 2013 51,988 69,380 Oct 21, 2017 #5 Madrid boy said: Mungu hakupi kila kitu Click to expand... FACT
Damian J Ntundagi JF-Expert Member Jun 28, 2017 1,632 2,294 Feb 3, 2020 #6 U mwamisha said: Hayana uzito kwa kua hayana cheti cha NECTA Click to expand... Una uhakika???