Mbunge Jesca Kishoa umekiuka Mila Za Kinyiramba

Mbunge Jesca Kishoa umekiuka Mila Za Kinyiramba

Inaelekea mleta mada huwajui wanasiasa vizuri,siasa ni sanaa sio science
 
Umerudia maneno ya jpm siku anapokea ripot ya pili ya kinikia! na aliepaswa kula hizo shaba alizioga haswaa!

maisha yana maajabu kweli na maneno yanaumba nimeamini[emoji56] [emoji2]
Kumbe alistahili? Hongera kwa ujuzi wako na wenzako kwa kukamilisha vyema kazi uliyotumwa kumwogesha uliyesema alistahili! Safari hii mmepanga kumwogesha nani tena?
 
Kafulila tulia..unatia aibu kuja huku jf kuropoka ropoka
 
Kwa hiyo wanyiramba mila zenu zinakataza watu walio kwenye ndoa kuzungumza ukweli acha kulisha watu matango pori we kada fake wa ccm
 
Afadhali wengine wana sababu ya kuchinja na kula Kondoo mweupe! Tafadhali tujulishe hiyo siku nasi tufaidi..
 
Hayo ndiyo Madhara ya kumpa nguvu kubwa mwanamke na Faida ya haki sawa kwa wote!!...
Maamuzi yapo kwa David Kafulila sasa kuamua!!...
 
Kwa hiyo ahatarishe kibarua chake kisa kafulila akae kimya tu kisa kafulila je ccm wakimgeuka kafulila watoto watakula nini acha apambane na hali yake japo alikuwa anajua kila kitu ubunge raha
Kwani wana watoto?
 
Mila za kinyiramba!

Nchi sio yenu tena! naam sio yenu.

Anayeimiliki wala hajui anaimiliki nini!

Anayeonekana kuimiliki naye hajui kuwa wala haimiliki.

Kicheko ni kwa afya na kilio ni tafakuri.
 
Kitendo cha mke wa David Kafulila kuita watu wa habari na kumkana mumewe hadharani kimenikwaza saaana. Jana nimeangalia taarifa ya habari kupitia azam TV mwanamke akimkana mumewe hadharani kimenisikitisha saana.

Bila hata kukurupuka angekaa na mumewe kujadili kabla ya kwenda kutafuta umaarufu kupitia wanahabari. Huu ni usaliti mkubwa sana hasa kwa wanandoa.

Haiwezekani hata siku moja eti mke anasema hakushirikishwa katika maamuzi hayo haiingii akilini hata siku moja.

Kama ningukua Kafulila hiyo ndio talaka yake mimi sina uvumilivu kiasi hicho. Najua mtakuja na mapovu kibao lakini ndio msimamo wangu.
Umpe talaka kula utakula wapi wakati mama ndo mwenye kibarua? Au hizo hela ulizohongwa ndo zitakusukuma huku ukitafuta mwanamke mwingine wa kumuoa?
 
mleta Mada unaniita mchawi! Hivi kati yangu na wewe Nani mchawi? Ndoa ya watu unaingiza mambo ya kichawi unataka tukupongeze. Tafuta yako.
 
Mbunge wa viti Maalum kupitia Chadema Jesca Kishoa Kafulila amekiuka mila za kabila la wanyiramba Kwa kufanya utovu wa Nidhamu kujitokeza hadharani Kwenye TV na kumnanga mume wake David Kafulila.

Ni mwiko Kwa mila za Kinyiramba mtoto wa kike kujibizana na mume wako hadharani .Jesca ameenda Kwenye TV amekiuka mila na kosa hili mpaka afanyiwe Zindiko lá kondoo mweupe vinginevyo Ndoa yake itavunjika na hawezi kuolewa Tena maisha yake yote. Hiyo ni Laana amejipalia ama Kwa makusudi au kutojua au mhemko wa siasa.

Jesca Kishoa aliolewa na Kafulila wakati huo Kafulila akiwa NCCR MAGEUZI na Jesca Alikuwa ni CHADEMA. kwahiyo walioana wakiwa na itikadi tofauti.

Jesca nini kilichokupeleka Kwenye TV kushambulia mume wako? Wewe ni Msemaji wa Chadema taifa? Unatumwa na Wanasiasa kuharibu Ndoa yako? Kweli mwanamke mjinga huivunja Ndoa Kwa mikono yake mwenyewe.

Umekosea sana, umekiuka mila za Kinyiramba waziwazi, Njoo Kwa Wazee uombe radhi na Zindiko lá kondoo mweupe lifanyike haraka. Ukikataa kufuata Ushauri huu wa kimila Ndoa yako itavunjika na hutakaa uolewe maisha yako yote.

Songela Mbwanuwe!!!!!!
Huu sasa umbea kuingilia ndoa za watu samahani ww ke au me
 
Wewe mwenyewe umekiuka mila za kwenu . Umekuja kutangaza kwenye mitandao badala ya kumfata na kumweleza mwenyewe.
Huo tunauita ni Umbea.....Kifupi ww ni mbea na mnafki....
 
Mbunge wa viti Maalum kupitia Chadema Jesca Kishoa Kafulila amekiuka mila za kabila la wanyiramba Kwa kufanya utovu wa Nidhamu kujitokeza hadharani Kwenye TV na kumnanga mume wake David Kafulila.

Ni mwiko Kwa mila za Kinyiramba mtoto wa kike kujibizana na mume wako hadharani .Jesca ameenda Kwenye TV amekiuka mila na kosa hili mpaka afanyiwe Zindiko lá kondoo mweupe vinginevyo Ndoa yake itavunjika na hawezi kuolewa Tena maisha yake yote. Hiyo ni Laana amejipalia ama Kwa makusudi au kutojua au mhemko wa siasa.

Jesca Kishoa aliolewa na Kafulila wakati huo Kafulila akiwa NCCR MAGEUZI na Jesca Alikuwa ni CHADEMA. kwahiyo walioana wakiwa na itikadi tofauti.

Jesca nini kilichokupeleka Kwenye TV kushambulia mume wako? Wewe ni Msemaji wa Chadema taifa? Unatumwa na Wanasiasa kuharibu Ndoa yako? Kweli mwanamke mjinga huivunja Ndoa Kwa mikono yake mwenyewe.

Umekosea sana, umekiuka mila za Kinyiramba waziwazi, Njoo Kwa Wazee uombe radhi na Zindiko lá kondoo mweupe lifanyike haraka. Ukikataa kufuata Ushauri huu wa kimila Ndoa yako itavunjika na hutakaa uolewe maisha yako yote.

Songela Mbwanuwe!!!!!!
Kumbe ni mnyiramba!!

Harafu yuko dodoma peke yake mme yuko kigoma!!

Wana roho nzuri hao. C wachoyo
 
Back
Top Bottom