Recent content by Mwalwimo MwaTanzania

  1. Mwalwimo MwaTanzania

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Waanzishe wao tu sisi tunakuja kusoma testimonies hapa , kupongeza na kuwish utumishi waliopata , kupeana pdf za ajira na kifupi Uzi wa wasaka ajira afu mwingine analeta elimu... Ni mamluki huyu anapoteza uelekeo wa Uzi huu😄
  2. Mwalwimo MwaTanzania

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Haya mambo ndo mhm ya kupeana hope ndo tunapenda kwenye Uzi huu
  3. Mwalwimo MwaTanzania

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Mimi ningeshauri huu trend mpya ya kujadili nje na Uzi huu ingeachwa , wewe unayetoa elimu anzisha Uzi mwingine acha kuchanganya watu waliokuha kupeana faraja na moyo apa Kwa juhadili mshahara wako wa laki 7 au laki 380 hapa unawatesa ambao hata buku ya bando kipengele. Kula laki 7 Yako na mmeo...
  4. Mwalwimo MwaTanzania

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    TRA wapange saili Kwa Kanda kama walivyofanya utumishi PSRS kwenye nafasi za mda and LGA TRA Tanzania Sekretarieti ya Ajira Samiaagain2025
  5. Mwalwimo MwaTanzania

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nimeelewa Kwenye app selected for oral ..means utapangiwa, selected for null maana umefaulu ila upo database subiri tu. But not selected for ....means out .jipange upya
  6. Mwalwimo MwaTanzania

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ni saww ila nafikiri Ndio kama wanavyosema kwenye app ilikuwa selected. Na ikabaki hivo ila ikiwa tayari not selected basi usisubiri
  7. Mwalwimo MwaTanzania

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Status yangu app ipo not selected..Wacha nami nikubali mapema kwamba nijipange na nyingine tu. Kwenye web ipo selected but app ipo not selected, so Kwa uzoefu wenu nmi nimekubali mapema kuwa nijipange zaidi Kwa nafasi ijayo
  8. Mwalwimo MwaTanzania

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nipo na wengine wapo wengi tu. Muda mwingine bando linakata kwahiyo usione kwny Uzi kuko kimya ujue bando out 😆😆
  9. Mwalwimo MwaTanzania

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Placement tayari ilifanyika kwako? Just feedback
  10. Mwalwimo MwaTanzania

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nimeona na nimeshangaa Sana imekuwaje yaan nilichopenda Sana kwake ni anabahati Sana Sana Sana. Maana Mimi naombea nipate nafasi 1 tu ila yeye amepata 2 Kwa wakati mmoja na pia tulifanya usaili pamoja naye. Hongera Sana kwake maana wanasema "bahati ya mwenzio usiilalie mlango wazi"
  11. Mwalwimo MwaTanzania

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Turudi MDA & LGA ya February naingoja pia🔥
  12. Mwalwimo MwaTanzania

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hongera Sana ndugu. Shukuru na wateendee mema kadri ya uwezo wako wengine utakapokuwa. Amen
  13. Mwalwimo MwaTanzania

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ushauri Bora kabisa huu. Wapigie wakusaidie wao. Otherwise you will cry a river 😆😆😆
Back
Top Bottom