Recent content by mwalimu wa watu

  1. M

    Shonza Na Mkakati Wa Kuiua CCM....

    Nakuunga mkono, kila kukicha Juliana, Juliana, mtu mwenyewe hana chochote cha maana, hana ubavu wa kukivuruga CCM wala CDM. She is just a mere person kama walivyo watu wengine wowote, cha ajabu ameteka vyombo vya habari usiku na mchana Julina. Kwanza sina hata uhakika na hii habari iliyoletwa...
  2. M

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Shamsi Vuai Nahodha ‘amtusi’ mbunge wa CHADEMA Salvator

    Nafikiri Machemli alimstahi sana huyu waziri, binafsi ningemtaka Speaker aruhusu niende milembe nikafanyiwe uchunguzi kuthibitisha kama nina matatizo ya akili na kama ingegundulika vinginevyo ningemtaka anilipe fidia kwa kunidhalilisha mbele ya watanzania, wapiga kura wangu na bunge.
  3. M

    MBATIA kufukuzwa Ubunge?

    Sidhani kama amewasilisha mitaala ambayo ni published. Ninachojua amewasilisha rasmu ya mitaala ya elimu ya Tanzania. Hiyo published curriculum document ya Tanzania haikuwahi kuwepo, tangu ile ya Elimu ya kujitegemea ilipo perish. So iwe na itakavyokuwa, kama kweli waziri amewasilisha mitaala...
  4. M

    Waalimu wengi wa sekondari za serikali wana ajira zaidi ya moja

    Nimefanya utafiti kwa walimu wa masomo ya sayansi. Na nilikuwa naangalia ni njia zipi zinaweza kutumika kuboresha ufundishaji katika masomo ya sayansi nchini. Lakini nikaamua kuangalia kwanza mitizamo ya walimu juu ya ufundishaji wa masomo hayo ya sayansi na ni kwanini watoto hawafaulu. Wengi...
  5. M

    Waalimu wengi wa sekondari za serikali wana ajira zaidi ya moja

    Nimefanya utafiti katika shule tatu za sekondari jijini Dar es salaam, na results zake nitazipublish soon. Wengi wa waajiriwa katika shule za serikali, wana ajira pia kwenye shule za private, na wengine wana ajira za part time kwenye shule mbalimbali zikiwemo za serikali na private. Katika...
  6. M

    Wife akitoka ku do nje ana behave hivi

    hehe, si unajua sabuni za gues zile zina harufu yenye utata. Anawahi kufuta harufu za huko atokako, hata kama alioga lazima arudie kuoga. Kutokana na hofu.
  7. M

    Wife akitoka ku do nje ana behave hivi

    umesahau point moja, akifika tu anawahi fasta bafuni kuoga hata kama si kawaida yake kufanya hivyo.
  8. M

    Mzee Tendwa wanachofanya CHADEMA ndiyo matumizi sahihi ya ruzuku?

    Mnasemaje zinaliwa na wasomi ilihali zimesharudishwa? Alichokula ni kipi?
  9. M

    ITV wanaipendelea Yanga?

    Tunakoelekea watanzania tutalazimika kuwa na ving'amuzi zaidi ya kimoja kama tunavyofanya kwenye line za simu. Unakuwa na king'amuzi cha ZUKU sijui kwa ajili ya kuangalia hizo taarifa za kitaifa na kimataifa, halafu ukifika wakati wa michezo unatafuta TV ambayo ipo fair kwenye hizo habari za...
  10. M

    ITV SIMBA sc sports news

    They always behave in the same way. I think Mengi is a fun of Yanga. ITV can easily broadcast Simba's news only when it is defeated, but not when it wins.
  11. M

    Picha: UVCCM-Dar wapokeana kwa kutwangana

    Kuna yule aliyewahi kusema CCM itajimaliza yenyewe alikuwa nani? Naona wakati umefika wa CCM kujimaliza yenyewe na si upinzani kuimaliza CCM. CHADEMA changeni karata vizuri, huu sasa ndiyo wakati wenu wa kuchukua nchi. Lakini iweni macho maana ukiona mwenzako ananyolewa wewe tia maji.
  12. M

    Shule za Waislam Dar kufungwa wanafunzi waende kusikiliza kesi ya Sheikh Ponda!

    kwani huyo anayetoa maagizo hayo ana cheo gani katika uislam hata waislamu wakubaliane naye? Naamini waislamu wote si wajinga kama yeye, na nina amini kutakuwepo viongozi wenye busara watakaoyapinga mawazo mgando kama hayo.
  13. M

    Faida na hasara ya kutumia maji ya chumvi/maji ya kisima

    Mbona Dar kila mahali ni maji ya chumvi. Uwezo wa serikali ya Tanzania kuwapelekea maji wananchi wake haupo so wengi wetu tunajichimbia visima wenyewe na karibu visima vingi tunavyochimba vina chumvi ya kufa mtu.
  14. M

    Mwalimu wa Shule ya Msingi aliepata Div IV ya Pts 28 kidato cha nne anaandaa msomi gani hapo baadae?

    Na ndiyo huyo huyo aliyekufaulisha wewe hata kupata jeuri ya kuja kuhoji uwezo wa huyo mwalimu. Au wewe hukufundishwa na walimu wa UPE? Wale waliokuwa wanamaliza darasa la saba na kurudi kuwafundisha darasa la saba wenzao? Je hao wanaofundisha universities na kwingineko mnakoona nyie ndiyo kwa...
  15. M

    Natafuta nyumba ya kununua, maeneo ya Sinza au Mwenge

    Ndugu wana JF. Kwa yeyote anayefahamu au mwenye nyumba inayouzwa maeneo ya Sinza na Mwenge tafadhari tuwasiliane kwa PM. Nitashukuru kupata majibu au ushauri wenu.
Back
Top Bottom