a.salaam wana jamvi............. nauliza kama kuna madhara au faida yoyote ya kutumia maji ya kisima ya chumvi?? maana kuna sehemu nimepangiwa kazi ni maji ya chumvi kila mahali hamna kabisa maji ya bomba.....
Mkuu.@dietMaji ya chumvi hayana madhara unaweza kutumia endapo hakuna maji mengine zaidi ya hayo lakini angalia endapo kama hiyo chumvi itakuwa ni nyingi huwezi kutumia na waulize wenyeji wanafanya maarifa gani kwa kunywa hayo maji?
Mbona Dar kila mahali ni maji ya chumvi. Uwezo wa serikali ya Tanzania kuwapelekea maji wananchi wake haupo so wengi wetu tunajichimbia visima wenyewe na karibu visima vingi tunavyochimba vina chumvi ya kufa mtu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.